Tumain
JF-Expert Member
- Jun 28, 2009
- 3,154
- 70
Kwa hiyo wote wengine wanaotoa huduma za jamii wakaombe uwakilishi AU? does it make sense? ...hawa mapapa ni wazugaji tu hakuna lolote? the bottom line ni kueneza church influence to political leaders in africa..that is the mission..Nimekujibu Swali lako ulilouliza Wakatoliki wanasaidiaje A common man in the street,wala sikulenga kuonesha ni DINI(DHEHEBU????) gani lililo bora katika kutoa huduma za jamii