Symbion Power: Intelligence watupu

Symbion Power: Intelligence watupu

Tanganyika ukiiba mali ya uma au kodi we ndio mjanja. Baadhi ya nchi ni kifungo kiref au kunyongwa

ONLY IN TANGANYIKA
 
Nchi hii hakuna Aliye Msaafi kiasi cha kumnyooshea mwenzake kidole, Watumishi wengi wa Umma wanaishi kinyume na Vipato vyao Harisi, hata huyo Mengi mzee wa Vitalu akichunguzwa kwa makini halipi kodi ipasavyo, Mkono amevuna Mapesa mengi toka Serikalini kwa miaka nenda ludi hajalipa kodi Stahiki, Wakiletwa FBI hapa Tz wawachunguze Viongozi wote mmoja baada ya mwingine hakuna atakayepona, wapo watu ni Mabingwa wa kuwakomalia wenzao juu ya masilahi binafsi kisha kusaka huruma za Wananchi lakini kumbe na wao si Wasaafi wamejaa mapungufu lukuki. Mwigulu anajinadi kuwa ni mjuzi juu ya mbinu za Ukwepaji kodi mbona akina Rostam na wenzao wanampiga changa la Macho hapa hapa ! Hata yeye akichunguzwa sidhani kama mali anazomiliki ni sawa na kipato chake, Nchi hii hakuna aliye msaafi kila Kiongozi ana Madhambi yake japo wapo wanjanja wanaojua kujificha sana lakini wakiletwa FBI lazima watawabaini wote.
 
Sijui nani wa kuinusuru hii nchi......sijui.....sidhani kama Watanzania wanaelewa.......kwa nguvu walizonazo kwa mujibu wa habari hii......hayupo wa kuwashinda ......ni washindi....hutaki....lala tu humu ukilalamika ila tumeshawashindwa .......tusubiri "labda" kizazi kingine kitachotengenezwa na mfumo wa kidunia.......
Nchii hii hakuna aliye Msaafi kiasi cha kumnyooshea kidole mwenzake watu wanapiga kila kona hadi huko kwenye makanisa na Misikiti kuna Ufisadi, hao wenye jukumu la kuteketeza Sheria za Nchi wakichunguzwa wengi wanaishi kinyume na Vipato vyao Harisi.
 
Weka hayo majina ya hao maafisa

Ushaambiwa kiongozi mkubwa serikalini unataka nini sasa? Mwana.halisi limefungiwa lakni wangekuwepo wangewataja waziwazi,2015 ni kuwapiga chini wabunge mizigo yote ya CCM!! IPTL/Symbion/Dowans ni mafisadi wachache tu serikalini....
 
Symbion iwe ya Rostam alafu anayefanya udunguzi awe Obama? Au pale Obama alipofungua symbion kwa kupiga danadana alikua anamuunga mkono Rostam? Hayo ni maswali ya kutaka kufunguliwa maana ninefungwa.
 
Ushaambiwa kiongozi mkubwa serikalini unataka nini sasa? Mwana.halisi limefungiwa lakni wangekuwepo wangewataja waziwazi,2015 ni kuwapiga chini wabunge mizigo yote ya CCM!! IPTL/Symbion/Dowans ni mafisadi wachache tu serikalini....

Achana na laki si pesa yeye kichwani kuna taarabu tu anakikundi chake kilitaka kuharibu vijana cha laki si pesa na kanga moko huyo laki si pesa ni jini acha naye aliwafundisha wasichana wenzake mchezo mchafu wakucheza na kujimwagia bia kwenye makalio
 
Acha kujidanganya wewe......hata bill gates hawez fanya vile
Achana na jinga hilo amna mfanya biashara hata mmoja duniani anayeweza toa pesa kama alivyo fanya rugamanila pale kuna mchezo mchafu tu hata marekani wenyewe wenye dola zao wanatukopesha siwangetupa bure!!
 
Du ukweli ni nooma, hata umuue mtu hata ukilifungia gazeti hata ufanyaje itafikia kipindi utajulikana tu
 
Vipi hawa wachungi wa kondoo nao au kanisa lina Shea ktk mchakato mzima

Wewe hujui kuwa kanisa ndilo linaongoza nchi hii. Usalama wa Taifa 80% ni watu wa kanisa na misikiti. wewe ukienda kuungana mambo ambayo yanahatarisha usalama wa nchi hutachukua muda tayari umedakwa.
 
Nchii hii hakuna aliye Msaafi kiasi cha kumnyooshea kidole mwenzake watu wanapiga kila kona hadi huko kwenye makanisa na Misikiti kuna Ufisadi, hao wenye jukumu la kuteketeza Sheria za Nchi wakichunguzwa wengi wanaishi kinyume na Vipato vyao Harisi.
Nadhani umezungukwa na walafi ndio maana unasema kila sehemu wapigaji. Ndio mnavyojidanganya, ndio maana somo la ujasiriamali lapaswa kufundishwa kwa hasira. Watanzani kwa mfumo wa malezi mabaya ya chama cha maombaomba, tumegeukia majibu mepesi kwa matatizo makubwa, ni lazima kupiga ni lazima kupiga. Akili zimajaa utope
 
Back
Top Bottom