medsebapol
JF-Expert Member
- Jul 16, 2015
- 327
- 225
Nina swari la kiuchunguz apa asa nimegomea kwenye hewa.
HIVI MCHERE UKIWA UNAPIKWA MAJI UMEZA MCHERE AU MCHERE UMEZA MAJI
HIVI MCHERE UKIWA UNAPIKWA MAJI UMEZA MCHERE AU MCHERE UMEZA MAJI
Ndo maana likaitwa swari la wikendiMchere....au mchele
McheleMcheree ndo mdudu gani
Bongo bhana siasa mpaka kene maswari ya kivivuusimfananishe jk na vitu vya kijinga
Kweli upepo wa pesa uko vizuri sana nitumie namba yako nikurushie vochaLafudhi ya mtu inaelezea katokea wapi....ungekua umetenda kosa na mini ningekua polisi ingekua kazi rahisi sana kukukamata maana ningejua tu umetokea kanda ya ziwa au kwa mbaaaaali kule kusini mwa tanzania!!!
UjakoseaSwari rako kweli ni la weekend
Mkurya huyo. Mchere! Umeza badala ya humeza.Lafudhi ya mtu inaelezea katokea wapi....ungekua umetenda kosa na mini ningekua polisi ingekua kazi rahisi sana kukukamata maana ningejua tu umetokea kanda ya ziwa au kwa mbaaaaali kule kusini mwa tanzania!!!
Maswari?? Hebu nenda tarimeBongo bhana siasa mpaka kene maswari ya kivivu