Donnie Charlie
JF-Expert Member
- Sep 16, 2009
- 15,143
- 16,215
Kama ni S3 original rudisha stock rom tu.
Sijasema u install kitu unatakiwa kuflash na recovery, unajua kuflash na recovery?Nim
jal
Hqbari za Leo bro jalibu kufanya ivo na kuinstall imekubali lakini baada ya kuwasha app zote ambazo zipo katika ilo file zinasema unsupported format swali jeh nitumie file gain jingine au nitumie njiagani nyingine ili niwe na play store coz nimefanya kama ulivyo nielekeza lakini inaniambia ivo . "naomba msaada"
Hapana broSijasema u install kitu unatakiwa kuflash na recovery, unajua kuflash na recovery?
Download Hilo file kisha hifadhi sehemu utajayouikumbuka kwenye simu yako. Mfano ieke folder la downloads ama alarm etc.Hapana bro