salmar
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 799
- 363
Waziri muhongo suali langu ni kwa nini tokea jana munatuzimia umeme toka asubuhi mpaka jioni ndo munauasha jee kuna mgao wa umeme je kuna matatizo n y unazimwa bila ya tAarifa sasa hii hali ishakua mbaya maana vitu vinaoza na ww ulisema shida ya umeme sasa basi kulikoni ama waziri huwezi kuaimamia maneno yako