swali

swali

kamwache

Member
Joined
Aug 11, 2013
Posts
48
Reaction score
8
habari wadau. Huyu jamaa alikuwa amesafiri kidogo. Nilienda kutubu naona kiama kimefika na sasa nimeokoka.
leo nina swali moja tu. je kati ya pua na masikio ipi inafanya miwani isidondoke? Ev Kamwache
 
habari wadau. Huyu jamaa alikuwa amesafiri kidogo. Nilienda kutubu naona kiama kimefika na sasa nimeokoka.
leo nina swali moja tu. je kati ya pua na masikio ipi inafanya miwani isidondoke? Ev Kamwache

unaelewa ulichokiandika?

Sent from my iPad using JamiiForums mobile app
 
habari wadau. Huyu jamaa alikuwa amesafiri kidogo. Nilienda kutubu naona kiama kimefika na sasa nimeokoka.
leo nina swali moja tu. je kati ya pua na masikio ipi inafanya miwani isidondoke? Ev Kamwache

Hilo swali muulize noella

Bazazi
 
Last edited by a moderator:
Vinategemeana....kama ukisema kwenye baiskel pedel na matair ni ipi inafanya baiskel iende mbele
 
1. Huyu jamaa alikuwa amesafiri kidogo.

2. Nilienda kutubu naona kiama kimefika na sasa nimeokoka.

3. je kati ya pua na masikio ipi inafanya miwani isidondoke?


:shocked::confused2::shocked::confused2::shocked::confused2::shocked::confused2::shocked::confused2::shocked::confused2::shocked::confused2::shocked::confused2:
 
Mi mwenyewe sijamuelewa, sasa huko alikoenda kutubu Mungu alimuelewa kweli.
 
Bazazi we mgomvi..nakusoma tu unavyonimention dah, hayaa wee
noella!
Hujambo lakini?
Bazazi Mzima wa afya tele.
Shaka na hofu ondoa.
Tupo pamoja.
Ni upendo tu kukutaja;
Na wala sio ugomvi.

Bazazi
 
Last edited by a moderator:
habari wadau. Huyu jamaa alikuwa amesafiri kidogo. Nilienda kutubu naona kiama kimefika na sasa nimeokoka.
leo nina swali moja tu. je kati ya pua na masikio ipi inafanya miwani isidondoke? Ev Kamwache

Labda unijibu na wewe swali hili la kipuuzi ...
Hivi ni kwanini pua na masikio huingaika na kuteseka kuifanya miwani isianguke wakati viungo hivyo vya mwili havipati faida yeyote ya kuitunza miwani isipokuwa macho ambayo yananufaika bila kutoa msaada wowote kwa miwani yenyewe?
 
Back
Top Bottom