Nimeamkia nyumbani - Ni mambo ya Kwaresima - Wiki Nzima nikitoka kibaruani nyumbani - nina muda wa kutosha kukaa na "my wife"!
Well well - Simu za mkononi zime facilitate "infidelity" - otherwise haya mambo yalikuwepo na yataendelea kuwepo - mwanaume anapokuwa mbali na mke wake for extended period of time, there are very high chance ya ku-"cheat" : i.e. kufanya mahusiano na mwanamke mwingine - sina uhakika kuhusu wanawake!
Kwa mantiki hiyo - kama mume yupo Singida kikazi kwa mwaka mzima say, na mke yupo Bunju - Dar na familia, LAZIMA mwanamume huko Singida anapofanya kazi na kuishi atakuwa na mahusiano (siyo lazima ya kimapenzi) na wanawake wengine - could it be wa ofisini kwake or mtaani anapoishi. Kumbuka kwamba, wanawake (makuhadi) hupenda sana kuwa na mahusiano na wanaume wenye ndoa!
Sasa either ana-cheat au ni mahusiano ya kawaida tu (mnakunywa wote BIA jioni) na wanawake huko ankofanya kazi, lazima wale akina mama watataka ku-flirt pindi anapokuwa amerudi likizo kwenye familia yake. SMS na "Please Call Me" zitakuwepo TU na what I can predict ni kwamba huyu mwanamume ana-avoid watu wa aina hiyo!
So as Balatanda pointed out kwenye post hapo juu : ni vyema mdogo wako aka-apply "The Ostrich Algorithm" hili kumuhakikishia mwanaume anakuwa na likizo njema na familia yake.