Eeeeh, bora liwalo na liwe ila simu yangu nazima, Nikitaka kuwasiliana na mmoja nawasha kisha nikimaliza nazima!Aksante Pape na hii ndiyo theory iliyopo kwetu wanawake!
Eeeeh, bora liwalo na liwe ila simu yangu nazima, Nikitaka kuwasiliana na mmoja nawasha kisha nikimaliza nazima!
Understod dada! ni kweli inabidi ukae macho always usisinzie kabisa ukiona kona zinaanza jaribu uwezavyo na kwa upole kujua tatizo na kulitafutia ufumbuzi before its too late.Sweetness please hakuna mtu alosema afunge virago aondoke, issue hapa ni je unapoona dalili ambazo unahisi haziridhishi, ufuatilie ili ujue ukweli au la? Mdogo wangu ameliona hilo na limemsuumbua akaamua aulize jibu alilopewa ni kuwa simu zina matatizo ya charge ndo maana anazima usiku-ajabu ni kuw aanapokuwa huko mkoani hayo matatizo hayapo??? mbona hazimi hizo simu?
Mimi nimemwambia si dalili nzuri afuatilie ndo wadau wengine wakanijia juu dada!
Eeeeh, bora liwalo na liwe ila simu yangu nazima, Nikitaka kuwasiliana na mmoja nawasha kisha nikimaliza nazima!
Yaani hapa inakuwa siyo starehe tena bali karaha! Washa tu muda wote, ila ndio hivyo tena kila mtu na simu yake! Hilo la kupekenyuliana simu wala silifagilii kabisa!
Acha kusumbuka na vitu vidogo hivyo. Simu siyo suala la muhimu kwenye cheating business ingawa ni moja ya vitendea kazi. Wapo watu wanacheat na simu zao hazina kikwazo. Shida ni kujaribu kuleta visingizio vya kitoto wakati suala liko wazi kama inavyosemekana kwenye post ya kwanza. Huyo baba ni mpuuzi na ni mwanafunzi katika hayo mambo. Vinginevyo angekuwa anajua jinsi ya kuzuia magari yake yasigongane kwa kuyaendesha kwa zamu. Huwezi kuanza kuendesha gari moja wakati jingine liko kwenye mtelemko na hukufunga hand break. Ni gharika tu. Huyo jamaa aende shule akajifunze jinsi ya kufanya ufuska nje ya ndoa na siyo kulete visingizio vya kitoto kama hivyo.
unapokuwa na mmoja unamnyima mwingine mawasiliano ili uwe makini na uliye nae kwa wakati huo!Yaani hapa inakuwa siyo starehe tena bali karaha! Washa tu muda wote, ila ndio hivyo tena kila mtu na simu yake! Hilo la kupekenyuliana simu wala silifagilii kabisa!
du! inauma lakini ndo ukweli, katika shida na raha, ugonjwa na afya mmmmh, mi simo bana, hivi viapo hivi? nani aliyeviandika lakini, hivi kwenye bible vimo? i mean haya maneno.sorry off topic.Mkuu DC, hapa sasa tuo ukurasa mmoja
Hoja yangu imekuwa suala la yeye kuconclude kwa ana cheat just kwa vile anazima simu ( I am trying not to be subjective here) na kusema kweli nimekwepa kisingizio cha kwamba inaisha chaji (ijapokuwa inaweza pia kuwa kweli)
kwamba hizi zinaweza kuwa dalili za kwamba anacheat ni sawa, lakini I am playing the devil's advocate position (bht inahusu) hapa kuonyesha kuwa wasi wasi wake wote huo upo comletely uncalled for.
Na given the fact kwamba hizi simu zinaleta mitafaruku sana hata pale isipokuwa lazima, ndio maana nimekuwa cautios kwamba asiende tu kuanza kumhukumu maana huwa inakwenda mbali zaidi kama akiambiwa na mtu kuwa 'mumeo kwa hili anacheat': Mfano
-kama alikuwa anamwekea maji ya kuoga ya moto yataanza ya baridi
-kama alikuwa anatabasamu wakati wote ataanza kununa na kuwa na kiburi/kisirani
-kama alikuwa anamyoshea nguo etc atakuwa anamwambia HG
-kama ilikuwa akimletea zawadi etc anaonyesha appreciation, this time atakuwa tu anakutolea macho
Pamoja na mengine mengi-mlolongo ni mrefu sana, ambao kwa dalili hizi mwanaume hata kama alikuwa hana mawazo hayo ya nyumba ndogo ataitafuta haraka sana ili kupata comfort na kujaribu kukwepa maudhi ya nyumbani.
Sasa kipi bora, kinga au kutibu? kama mmeshakubaliana kuingia kwenye ndoa, ishu ya ukimwi and the like inakwepekaje na kwa nini mwanaume anaonekana kuwa ndiye 'atamletea' wakati the other way round is possible? Ki wapi kile kiapo cha magonjwa na raha au watu walikuwa wanaapa wakifikiria kama bia zitatosha ukumbini?
Mkuu DC, hapa sasa tuo ukurasa mmoja
Hoja yangu imekuwa suala la yeye kuconclude kwa ana cheat just kwa vile anazima simu ( I am trying not to be subjective here) na kusema kweli nimekwepa kisingizio cha kwamba inaisha chaji (ijapokuwa inaweza pia kuwa kweli)
kwamba hizi zinaweza kuwa dalili za kwamba anacheat ni sawa, lakini I am playing the devil's advocate position (bht inahusu) hapa kuonyesha kuwa wasi wasi wake wote huo upo comletely uncalled for.
Na given the fact kwamba hizi simu zinaleta mitafaruku sana hata pale isipokuwa lazima, ndio maana nimekuwa cautios kwamba asiende tu kuanza kumhukumu maana huwa inakwenda mbali zaidi kama akiambiwa na mtu kuwa 'mumeo kwa hili anacheat': Mfano
-kama alikuwa anamwekea maji ya kuoga ya moto yataanza ya baridi
-kama alikuwa anatabasamu wakati wote ataanza kununa na kuwa na kiburi/kisirani
-kama alikuwa anamyoshea nguo etc atakuwa anamwambia HG
-kama ilikuwa akimletea zawadi etc anaonyesha appreciation, this time atakuwa tu anakutolea macho
Pamoja na mengine mengi-mlolongo ni mrefu sana, ambao kwa dalili hizi mwanaume hata kama alikuwa hana mawazo hayo ya nyumba ndogo ataitafuta haraka sana ili kupata comfort na kujaribu kukwepa maudhi ya nyumbani.
Sasa kipi bora, kinga au kutibu? kama mmeshakubaliana kuingia kwenye ndoa, ishu ya ukimwi and the like inakwepekaje na kwa nini mwanaume anaonekana kuwa ndiye 'atamletea' wakati the other way round is possible? Ki wapi kile kiapo cha magonjwa na raha au watu walikuwa wanaapa wakifikiria kama bia zitatosha ukumbini?
Yaani hapa inakuwa siyo starehe tena bali karaha! Washa tu muda wote, ila ndio hivyo tena kila mtu na simu yake! Hilo la kupekenyuliana simu wala silifagilii kabisa!
unapokuwa na mmoja unamnyima mwingine mawasiliano ili uwe makini na uliye nae kwa wakati huo!
Mpenzi Mbu nimekuwa nikikutarajia tangu asubuhi mpenzi haya imekuwaje leo?
Tafadhali naomba upitie post za Darck City kwanza then utaona concern yangu darling
(Kaizer habari?)
du! inauma lakini ndo ukweli, katika shida na raha, ugonjwa na afya mmmmh, mi simo bana, hivi viapo hivi? nani aliyeviandika lakini, hivi kwenye bible vimo? i mean haya maneno.sorry off topic.
kwenye red nimeshitushwa...sijui tumeanza lini hii mambo na ni bei gani kaku-retain??
wa ukweli yote usemayo yanawezekana ila hapa nadhani kwa kiwango kikubwa tumejaribu kuona nini chwawezekana ...being give the situation
haipaswi kuhukumu moja kwa moja ila kumbuka hapa there are so mant things involve pamoja na emotions na experience za watu wanaojadili
all in all every case is different and it shouls be treated differently I believe so.....
hahaha, B wa ukweli hapo ni malipo kila saaa dola mia tatu (isomeke kila post) LOooooool
B mi nikijaribu kuweka mbali emations eti! na kutumia uzoefu zaidi,,,si ndio kuwa objective B! miss u though
kwani ikipekenyuliwa ina nini??
X-Pin kujua kama simu iko on au la si lazima uikague bana, huyu shem wangu yeye akifika tu home usiku anazima matokeo yake sasa rafiki zake au ndugu wakiwa wanampigia inabidi wamcal kupitia kwa wife si ndo wife akamwuliza kwa nini kazima simu? Since then ni mwendo mdundo
Haina kitu ndio maana wala haihitaji wala haitakiwi kupekenyuliwa! Kupekenyua simu ya mwenzi wakati yeye ni mwaminifu kwako ni kumkwaza!
Ahahahahaha...here we go again! What's new? Kila siku nawaambia msioe wala kuolewa hamtaki kunisikia. Yaani siku hizi hapa siku haiishi bila ya mtu kubandika mada ya 'cheating'....poleni zenu.