Ukiambiwa kesho ni mwisho wa maisha yako,halafu ukaambiwa umfanyie mmeo,mkeo,mpenzio kitu kizuri sana,utamfanyia nini?
Kama uliishi maisha yako vipaswavo huogopi kifo... (Psalm 23:4)Hivi unaweza kufanya kitu gani chema au kizuri unapokuwa umehukumiwa adhabu ya KIFO?
mie nitamuua...ili wengine wasipate raha niliyokuwa napata mie