jamani gadafi kafa au kauwawa?
Sherehe tena au Msiba?Kafa baada ya kuuawa, na pamoja ya kwamba nimeamua kutoziangalia zile video dalili zote zinaonyesha kuwa ile ilikuwa ni War crime maana alikuwa amushasalimu amri na anawaomba wasimuue, na kissu cha anus wakampiga juu yake. Ila hilo litasukumwa pembeni lisije likaharibu sherehe.