alidhani ng'ombe wake anauvimbe, alipojaribu kukamua yakatoka majimaji(maziwa) akihisi ni usaha, kwa kuwa yalitoka mengi akaamua kuhifadhi kwenye kopo ili apeleke kwa dr wa mifugo, kwa bahati mbaya mwanae akchukua lile kopo na kunywa kisha akasema taaamu... loh ikabidi a test kama kweli.. haah iliyobaki malizieni wenzangu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.