Hapana, mwenye miezi 7 ana survive na mwenye nane anakufa kwa sababu kwenye mwezi wa saba amna mabadiliko makubwa ukifananisha na mwezi wa 8 ambapo mwili wa kichaga upitia,Haaha ayo ni maneno ya watu tu, ila kitaalamu zaidi ni kwamba mtoto wa miezi 8 ameshakua mkubwa zaidi (matured) uki compare na uyo wa miezi 7 hivyo basi, wa miezi 8 ana chance kubwa ya kuishi kuliko wa miezi 7.
Kwenu madaktari na wenye ufahamu. Kuna imani kuwa mtoto wa miezi nane akizaliwa anakufa, na huku wa miezi saba anasurvive. Nini kinapelekea hiki.?
Mtoto wa miezi nane afe, na mtoto wa miezi saba aweze kuishi.?
Haaha ayo ni maneno ya watu tu, ila kitaalamu zaidi ni kwamba mtoto wa miezi 8 ameshakua mkubwa zaidi (matured) uki compare na uyo wa miezi 7 hivyo basi, wa miezi 8 ana chance kubwa ya kuishi kuliko wa miezi 7.
Kwenu madaktari na wenye ufahamu. Kuna imani kuwa mtoto wa miezi nane akizaliwa anakufa, na huku wa miezi saba anasurvive. Nini kinapelekea hiki.?
Mtoto wa miezi nane afe, na mtoto wa miezi saba aweze kuishi.?
Haaha sawa uje kuelezea hayo mabadiliko yanayomfanya wa miezi 8 asiwe na chance kubwa ya kuishi uki compare na wa miezi 7.Hapana, mwenye miezi 7 ana survive na mwenye nane anakufa kwa sababu kwenye mwezi wa saba amna mabadiliko makubwa ukifananisha na mwezi wa 8 ambapo mwili wa kichaga upitia,
Anapozaliwa akiwa na miezi saba wakati wa mabadiliko hayo yani mwezi wa 8 mwili unakuwa umeshazoea mazingira,
Ila anapozaliwa akiwa na miezi nane inakuwa vigumu kuishi kwasababu mwili wakati ukipitia mabadiliko na wakati huo ukijaribu Ku adapt mazingira mapya Unashindwa Ku withstand vyote kwa pamoja ndio maana mara nyingi inakuwa ni vigumu kuishi,
NB; Ni mabadiliko gani nitayaelezea kesho saa hiz nimechoka wakuu nahitaji kupumzika
Sent using Jamii Forums mobile app