SWALI , Wanaume jadilini wanawake jibuni


Na hilo ndiyo letu wanaume pia..
We ni shemeji yangu,siwezi kukaa na kuthubutu wazo la kumtongoza shemeji hata kidogo!

Labda kama ni kwa kuongozwa na tamaa,na hata hivyo,hiyo gia ya fimbo na nyoka, jihesabie umekwishaharibu mahusiano na shem wako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…