Rosicky
JF-Expert Member
- Sep 21, 2015
- 1,159
- 1,945
Wasaalam waungwana
Kuna swali huwa najiuliza, katika maisha yetu ya civilization yamekuja na mifumo mbalimbali ikiwemo ya financial institution (Bank and mobile money). Hii mifumo imekuja na sheria zake moja ikiwemo usiri wa taarifa kati ya mtoa huduma na mpokea huduma. Yaani kila mteja ana namba yake ya siri ambayo hashei na mtu mwingine.
My take: Kwenye maisha watu hufariki wengine huugua ukichaa wa muda mrefu ilihali ana fedha benki au kwenye mobile account kama M-Pesa, Tigo pesa na Airtel money.
Swali: Je nini hutokea kwenye ile fedha ambayo mmiliki hayupo tena duniani au ameugua ukichaa au amepata sababu yoyote ile
NB: Nauliza tu sina nia ya kuchonganisha au kuogopesha watu.
Kuna swali huwa najiuliza, katika maisha yetu ya civilization yamekuja na mifumo mbalimbali ikiwemo ya financial institution (Bank and mobile money). Hii mifumo imekuja na sheria zake moja ikiwemo usiri wa taarifa kati ya mtoa huduma na mpokea huduma. Yaani kila mteja ana namba yake ya siri ambayo hashei na mtu mwingine.
My take: Kwenye maisha watu hufariki wengine huugua ukichaa wa muda mrefu ilihali ana fedha benki au kwenye mobile account kama M-Pesa, Tigo pesa na Airtel money.
Swali: Je nini hutokea kwenye ile fedha ambayo mmiliki hayupo tena duniani au ameugua ukichaa au amepata sababu yoyote ile
NB: Nauliza tu sina nia ya kuchonganisha au kuogopesha watu.