Tulikosana na wife kaenda polisi mara *kazaa* wanamtupa nje,mimi bado nampenda.akatumia shinikizo la wakubwa kwa sababu aunt yake anafanya ofc ya waziri mkubwa jarida likafunguliwa polisi,wakanipigia cm niende,eti ninashitaka la kujibu,sikwenda,nasubiri waje kunikamata.hapo ndo mwisho wa ndoa.