Swali nauliza

ahahahahah wa 32 age itabd ndo waanze hiyo kazi ya kondoo
ha ha ha jaribu kuvaa mavazi mazuri ya umama,na tabia pia iwe nzuri,na uwe mchangamfu/unacheka na kila mtu na usiwe mwepesi wa kukasirika,hapo lazima ndoa uione.
 
Anaolewa vizuri..Tena kwa shela jeupe na bashasha kibao...
 
Kila nyani na mlima wake...
 
Umetukana kama wewe umeforsiwa kumuoa humu kujiona ni kwingi na bangi wavutaji ni wengi kupunguza stress .
 
Katoto kazuri usijali kwa miaka yako 32 bado ni mtoto hasa na unaolewa.

Ila angalia tu anaekuoa awe amekuzidi kwa sababu aliyekuzidi bila shakaatakuwa ana busara na anataka kutulis na kujenga familia,hatokuumiza.

Lakini hawa wanaovaa milegezo hawa hawana future na wako kwa ajili ya starehe zaidi na hawana muda wa kujenga familia,so watakuumiza

Period.
 
Mwanamke wa miaka 32 je kama yupo single hana mtoto akitaka kuolewa ataolewa kweli ??
Kwa maana wanaume wanataka vipya ??
Hii inakuwaje???
Endelea kudengua dengua tu, ukishafika miaka hiyo utaenda kujiunga Love Connect, lol
 
Endelea kudengua dengua tu, ukishafika miaka hiyo utaenda kujiunga Love Connect, lol
Hujakuaga tu uache bangi kwa maana humu wenzako wametuliza stress na uvutaji wa bangi bado tu wewe uko vile vile kwanza wewe ni jinsia gani kwa maana ninakumbuka vizuri ulikuwa unapenda sana mambo ya ushoga ukaniacha hoi.
So tujuze 🙄😳😳🤯🤯
 
Nikikuoa ndio nitaacha kuvuta bangi,
Jinsia yangu ukuje saa 6 usiku utaijua katoto kazuri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…