Swali naomba jibu

Swali naomba jibu

Inategemea kwa kweli ni ngumu kuacha harakax2 au kwa ghfla kwakweli. Inahtajka akili ya ziada kuwachunguza kujua wameacha au wamepumzika kidogo wimbi lipitee.
 
Kwangu kuchepuka hakuna excuse iwe bahati mbaya iwe makusudi hapo ni RED CARD tu nafsi yangu siyo rahisi kiasi hicho kwamba niwe nachanganywa na wanaume wengine its better i live single forever kuliko mchanganyo!
 
Ataacha kwa ushirikiano wako na yeye, mpende mjali mthami uone kama hataacha.
 
mimi ni mkristo. BIBLIA INACEMA NDOA NA IHESHIMIWE NA WATU WOTE, Pia m2me paulo alicema, M2 ASIMWACHE MKEWE ICIPOKUWA KWA HABARI YA UASHERATI. tafakar na ufanye maamuz ya busara hasa kwako ndugu
 
Mbona nyie huwa mnashikwa ugoni wake zebu wanawasamehe tu Mara kibao? Ahaaa mkuki kwa nguruwe fyuuuuuuuuu
 
Miaka hii hakuna wanaume, kuna wenye uume tu.

Yaani niprove beyond reasonable dout kuhusu mke wangu kutoka na mshikaji tena niishi nae?
 
inategemea kama alikili sababu ya kipigo ulichomshushia hawez acha atakuwa amekudanganya tu ila kama alikili kwa mazungumzo tu bila kipigo ataacha kweli
 
Mrudishe kwao akakae japo mwezi/miezi..wamfunde na yeye mwenyewe ajitafakari vizuri kile alichofanya zen akirudi kuomba msamaha angalia kama msamaha wake anaomba kwa dhati ya moyo wake au ile tu kuepusha shari..

Na usikubali kutoa msamaha bila kujua sababu iliomfanya akusaliti(Ili ni la msingi sana)..
 
Back
Top Bottom