carter
JF-Expert Member
- Jan 23, 2009
- 3,664
- 4,249
napita naenda kunywa chai na mihogo. ila kwakukurupuka Mwakyembe anaongoza subilini.
hakika umenena mkuu, kwa kisiki alichoparamia mwakyembe saiv lazima kitamshinda tuu na itakuwa aibu kubwa kwake kwa kasi ya kesi anavyotaka ikimbizwe mahakamani ila itazima kama mshumaa kwenye upepo. system iko very corrupt hakulianalia kwanza hilo, na ngoma hii si rahisi kuchezeka kama alivyo muangusha laigwanan wa monduli, this is something BIG and serious......TUSUBIRI TUONE!!