Siri ya sifuri
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 2,615
- 2,264
Salam kwenu wakuu.Kwakua leo ni j'pili na wengi wetu tupo katika hali tulivu nawaombeni kwaheshima tushirikiane kujadili hili suala ambalo kwa imani yangu naona jibu lake ni muhimu sana kwa jamii yetu.
Je, nikitu gani unaweza kufanya iwapo anakujia mtu mahala ulipo kisha anakuomba kwa heshima,"twende kwenye nyumba ile" mnapofika anakwambia nimemuona mama yako ameingia humu ndani na mwanaume chumba kile pale wanafanya mapenzi.
Changia mkuu, dhihirisha hisia zako.Hakuna mtu wa kufanya hivi.
Ukiona mtu kafanya hiki kitendo mfute kabisa kwenye maisha yako.
Sasa wewe baada ya kuambiwa hivyo ulichukua uamuzi gani? tuanze na wewe kwanza.Salam kwenu wakuu.Kwakua leo ni j'pili na wengi wetu tupo katika hali tulivu nawaombeni kwaheshima tushirikiane kujadili hili suala ambalo kwa imani yangu naona jibu lake ni muhimu sana kwa jamii yetu.
Je, nikitu gani unaweza kufanya iwapo anakujia mtu mahala ulipo kisha anakuomba kwa heshima,"twende kwenye nyumba ile" mnapofika anakwambia nimemuona mama yako ameingia humu ndani na mwanaume chumba kile pale wanafanya mapenzi.
Sijawahi kuulizwa, ndio maana nimelifanya kuwa mjadala.Sasa wewe baada ya kuambiwa hivyo ulichukua uamuzi gani? tuanze na wewe kwanza.
Mkuu unamaanisha kumuua au kujitenganae.Changia mkuu, dhihirisha hisia zako.
πππeeh ukamfumanie mama yupo na njemba inakula mzigoHakuna mtu anaweza kuniambia huo ujing.a nikamuacha, lazima achezee kichapo kwanza. Unanipelekaje kwenye tukio Kama Hilo? Kwamba nikafumanie au?
yah, she's your mom...she's your mama.. not your wife...
Sijapata jibu mkuu.Hakuna mtu anaweza kuniambia huo ujing.a nikamuacha, lazima achezee kichapo kwanza. Unanipelekaje kwenye tukio Kama Hilo? Kwamba nikafumanie au?
No that's your mom..yah, she's your mom...
Wamama wa siku hizi waheshimikaje?ukute yupo na dogoo hata we mwana umekazidi umri, duh!!πππeeh ukamfumanie mama yupo na njemba inakula mzigo
It seems you dont understand the question. please read it again.No that's your mom..
To me she's my love π π
Huyo fedhuli unamshukuru kwa lipi mkuu!?Kama baba yupo nitamdharau mama,na huyo aliyenipeleka nitamshukuru pia
Ukiwa na watu wa aina hiyo ujue kuna mahali unakoseaSalam kwenu wakuu.Kwakua leo ni j'pili na wengi wetu tupo katika hali tulivu nawaombeni kwaheshima tushirikiane kujadili hili suala ambalo kwa imani yangu naona jibu lake ni muhimu sana kwa jamii yetu.
Je, nikitu gani unaweza kufanya iwapo anakujia mtu mahala ulipo kisha anakuomba kwa heshima,"twende kwenye nyumba ile" mnapofika anakwambia nimemuona mama yako ameingia humu ndani na mwanaume chumba kile pale wanafanya mapenzi.
wakilisha mkuuMe naona bora tuu tuwe na serekali tatu