Wanasiasa hasa (wabunge) wa CHADEMA, wanaohama chama chao na kujivua ubunge sababu kubwa wanazotoa ni, chagua jibu SAHIHI kwa haya yafuatayo:-
(A) Kuunga mkono jitihada na Juhudi za rais wetu mtukufu.
(B) CHADEMA hakuna demokrasia.
(C) Mbowe ni dikteta, kakaa sana na uwenyekiti.
(D) Ruzuku kuliwa ovyo CHADEMA.
(E) Taama na Njaa za mhamaji.
(F) Kuvutiwa na itikadi ya chama anachohamia (CCM)
Jibu Sahihi [ ]
(A) Kuunga mkono jitihada na Juhudi za rais wetu mtukufu.
(B) CHADEMA hakuna demokrasia.
(C) Mbowe ni dikteta, kakaa sana na uwenyekiti.
(D) Ruzuku kuliwa ovyo CHADEMA.
(E) Taama na Njaa za mhamaji.
(F) Kuvutiwa na itikadi ya chama anachohamia (CCM)
Jibu Sahihi [ ]