uvugizi
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 1,235
- 874
mkuu kuna vitu vingi unatakiwa kuanisha katika maana yako ya kuishi je ni kibiashara zaidi ? au ni kelimu zaidi na kazi za ofisini? au utalii wa ndani ku spend?. mfano kibiashara zaidi mimi naona ni popote ndani ya tanzania hii ? , kielimu na kazi za ofisini mimi naona ni dar pamoja na kuspend maisha .Wadau wa JF!
Ningependa kupata mawazo yenu, ni Mkoa gani ni mzuri wa kuishi hapa kwetu au ni Wilaya gani ni nzuri kwa kuishi??
Naomba tujadiliane.