raia tz
Member
- Nov 21, 2011
- 89
- 16
Wakuu naomba elimu juu ya swali langu hili
1: Je mpangaji anaweza akalipia na kununua LUKU tanesco kwa jina lake
2: Kama ni mali ya mpangaji je akihama anaweza kuhama na LUKU yake?
3: Kama inabidi iandikishwe kwa jina la mwenye nyumba je, mpangaji anaweza kuimiliki kama ameilipia yeye
4: Mwisho naombwa kujuza nilisikia mwakani januari bei ya kufunga umeme ma kununua LUKU itashuka je itakuw kima cha chini kiasi gani?
1: Je mpangaji anaweza akalipia na kununua LUKU tanesco kwa jina lake
2: Kama ni mali ya mpangaji je akihama anaweza kuhama na LUKU yake?
3: Kama inabidi iandikishwe kwa jina la mwenye nyumba je, mpangaji anaweza kuimiliki kama ameilipia yeye
4: Mwisho naombwa kujuza nilisikia mwakani januari bei ya kufunga umeme ma kununua LUKU itashuka je itakuw kima cha chini kiasi gani?