Wadau..tusaidiane kwa hili kwa wale wenye wtt waliomaliza fm4 2014 ni lini watapatiwa majibu ya shule walizopangiwa? Tamisemi na wizara wapiga mpira tu..julai ndio inakaribia wtt wamesubiri sn tafadhali wajibikeni sio kuwaza kutiania na. Majimbo yenu