kitu swal c gumu ila kutokutegemea mana hapana mtu aliyesema amepitia ile mada limeibuka tu mkuu
me nadhan hamjanielewa me nlmansha swal c gumu big result inajulikana lakini kitu mtu unasoma vingine the unakutana na jambo dogo tu c mmepitia mambo ya mthan mnajua nn namaanisha.
Ungepoteza pesa yako buremimi pia niliitwa kwenye post ya afisa tarafa bt nimeshindwa nlishindwa kufika cz sikuwa na nauli nipo musoma mara! jamani kwanini utumishi wasiwe na ofisi kila mkoa au zone
Watu jana wamemeza types of pasport, kwenda taifa thubutuu, hakuna cha pasport wala visa
Ungepoteza pesa yako bure
siku hizi mwandiko na uumbaji wa maneno havifundishwi tena , eti?
Duh huo uandikaji mmmhhh.
Duu swali lile,kwa wale wafatiliaji waliandika vzr sana lilkuw c gumu.