Swali la wazazi: Umeshanunua kiwanja huko unakoishi? Jibu hili hapa

Swali la wazazi: Umeshanunua kiwanja huko unakoishi? Jibu hili hapa

Gumasa

Member
Joined
May 10, 2023
Posts
53
Reaction score
50
Yes,Ukiwa unaishi mjini au mahali popote mbali na wazazi au nyumbani ulipozaliwa,unaporudi nyumbani swali mhimu kutoka kwa wakubwa huwa ni...; umeshanunua kiwanja??

Kama bado hujapata jibu la swali hilo,usisite kunitafuta wakati wowote ili upate kumiliki kiwanja chako kwa gharama nafuu Sana.

Unaweza kumiliki kiwanja chako chenye ukubwa kuanzia 400m² katika maeneo mbalimbali ya mji wa Mwanza.
Viwanja vinapatikana
Buswelu,Ilalila,Masemele,Isanzu,Kassa zoo,Kanyama,Kona ya kayenze,Kisesa,kitumba,Kishili,Kona ya fela,fumagira n.k

Unaweza pia kununua kwa kulipia kidogokidogo kadri ya bajeti yako. Uaminifu ni 100%

Kwa mawasiliano nipigie kupitia 0684288417
 
Yes,Ukiwa unaishi mjini au mahali popote mbali na wazazi au nyumbani ulipozaliwa,unaporudi nyumbani swali mhimu kutoka kwa wakubwa huwa ni...; umeshanunua kiwanja??

Kama bado hujapata jibu la swali hilo,usisite kunitafuta wakati wowote ili upate kumiliki kiwanja chako kwa gharama nafuu Sana.

Unaweza kumiliki kiwanja chako chenye ukubwa kuanzia 400m² katika maeneo mbalimbali ya mji wa Mwanza.
Viwanja vinapatikana
Buswelu,Ilalila,Masemele,Isanzu,Kassa zoo,Kanyama,Kona ya kayenze,Kisesa,kitumba,Kishili,Kona ya fela,fumagira n.k

Unaweza pia kununua kwa kulipia kidogokidogo kadri ya bajeti yako. Uaminifu ni 100%

Kwa mawasiliano nipigie kupitia 0684288417
Mwanza kumejaa Matapeli kwa 98%.

Watu wasijichanganye na hizi hadithi.
 
Sina cha kufafanua.

Kama hutaji kutapeliwa Mwanza, nunua kiwanja kwa mtu unayemjua au kupitia Halmashauri.
Pole sana,endelea kubwabwaja huku muda unaenda. Siku ukiamka utakuja kujua ulikawia.
Sisi ni kampuni linalotambulika na limesajiliwa kwa mjibu wa sheria na ukitaka kununua baada ya kuridhika na kiwanja,unanunua na kusainishwa chini ya uongozi na hata Kama una mwanasheria wako unakuja naye.
Usikariri ndugu!
 
Pole sana,endelea kubwabwaja huku muda unaenda. Siku ukiamka utakuja kujua ulikawia.
Sisi ni kampuni linalotambulika na limesajiliwa kwa mjibu wa sheria na ukitaka kununua baada ya kuridhika na kiwanja,unanunua na kusainishwa chini ya uongozi na hata Kama una mwanasheria wako unakuja naye.
Usikariri ndugu!
Utapeli upo hata kama,
  • Mhusika na kikampuni chenye usajili BRELA
  • Ana Mwanasheria anasaini.

Hicho siyo kizuizi cha kutapeliwa.
 
😀😀 Ukosefu wa hela ni changamoto kubwa Sana,kila Jambo unawaza kuibiwa.Wakati mwingine unapaswa kufikria mafikrio chanya kila wakati.
Kwamba wewe unayefanya udalali ndio una hela??
 
M² 400 naweza kujenga nyumba ya vyumba vinne na kuzungusha nyumba yote fence..?
 
M² 400 naweza kujenga nyumba ya vyumba vinne na kuzungusha nyumba yote fence..?
Unaweza kujenga,lakini eneo lote linaweza kumalizwa na nyumba tu kutegemeana na ramani yako.Kwa ushauri ni Bora ukapata eneo kubwa zaidi ambalo utajenga nyumba ikaonekana na fence ikapumua vizuri.Vyumba vinne kwa ramani ya kisasa ni nyumba kubwa kwenye kiwanja Kama hicho ni kuinyima muonekano wa kimandhari.🙏🙏
 
Unaweza kujenga,lakini eneo lote linaweza kumalizwa na nyumba tu kutegemeana na ramani yako.Kwa ushauri ni Bora ukapata eneo kubwa zaidi ambalo utajenga nyumba ikaonekana na fence ikapumua vizuri.Vyumba vinne kwa ramani ya kisasa ni nyumba kubwa kwenye kiwanja Kama hicho ni kuinyima muonekano wa kimandhari.🙏🙏
Ok.. Nadhani inatakiwa kiwanja kianzie meter square 700 na kuendelea ili kusimamisha nyumba ya kisasa na uzio/fensi yake
 
Back
Top Bottom