shamp
JF-Expert Member
- Jan 22, 2017
- 225
- 215
wewe kama mfasiri wa lugha wakati mwingine yawezekana ukakosa visawe kabisa visawe vya istirahi za lugha chanzi yako katika lugha lengwa yako hali hiyo ikijitokeza inatakiwa kuunda istirahi yako mwenyewe .fafanua sifa sita za istirahi hizo zitakazoundwa.
JAMAN NAOMBEN MWENYE MAJIBU YA HILI SWALI ANISAIDIE
Sent using Jamii Forums mobile app
JAMAN NAOMBEN MWENYE MAJIBU YA HILI SWALI ANISAIDIE
Sent using Jamii Forums mobile app