WilsonKaisary
JF-Expert Member
- Apr 4, 2017
- 392
- 935
Maendeleo
Mtu tajiri ana kila kitu. Ana malori kibao n.k. Nyumba ya fahari. Mke anapewa kila aina ya chakula na nguo. Lakini haruhusiwi kutafuta kazi ingawa anapenda. Na jamaa akitia tungi zake, anamtwanga kila mara na kusababisha majeraha ya kudumu.
Mke ameendelea?
Mtu tajiri ana kila kitu. Ana malori kibao n.k. Nyumba ya fahari. Mke anapewa kila aina ya chakula na nguo. Lakini haruhusiwi kutafuta kazi ingawa anapenda. Na jamaa akitia tungi zake, anamtwanga kila mara na kusababisha majeraha ya kudumu.
Mke ameendelea?