Daa hiki kitu kimenigusa sn,kuna demu nimedumu naye miaka 4,ss nataka fanya process awe ndani but naona ANAPENDA KUNITAWALA NA KUNIFOKEA,pia ANAJIAMINI kupita maelezo.
Natafakari,sijui kama tutafikia coz nami najijua jinsi nilivyo.
Daa hiki kitu kimenigusa sn,kuna demu nimedumu naye miaka 4,ss nataka fanya process awe ndani but naona ANAPENDA KUNITAWALA NA KUNIFOKEA,pia ANAJIAMINI kupita maelezo.
Natafakari,sijui kama tutafikia coz nami najijua jinsi nilivyo.