MatikaC JF-Expert Member Joined Apr 5, 2012 Posts 1,190 Reaction score 479 Feb 15, 2014 #21 hayo yanaweza kutoa hata sembe
Magnificient JF-Expert Member Joined Aug 8, 2013 Posts 1,177 Reaction score 733 Feb 15, 2014 #22 utafiti said: Samahani kama nitakukwaza Eti matunda ya miaka 52 ya uhuru unaweza kutengenezea juice? Click to expand... Huwa hayafikii kuiva mkuu, wadau wanayachuma yakiwa mabichiii....
utafiti said: Samahani kama nitakukwaza Eti matunda ya miaka 52 ya uhuru unaweza kutengenezea juice? Click to expand... Huwa hayafikii kuiva mkuu, wadau wanayachuma yakiwa mabichiii....
kisumapai JF-Expert Member Joined Jan 3, 2014 Posts 544 Reaction score 219 Feb 15, 2014 #23 Changanya na mkojo wa punda we tamu balaaa
utafiti JF-Expert Member Joined Jul 18, 2013 Posts 12,783 Reaction score 7,671 Feb 15, 2014 Thread starter #24 kisumapai said: Changanya na mkojo wa punda we tamu balaaa Click to expand... Mkuu itakua juice kweli?
kisumapai said: Changanya na mkojo wa punda we tamu balaaa Click to expand... Mkuu itakua juice kweli?
K Kinduki Member Joined Aug 4, 2013 Posts 18 Reaction score 2 Feb 15, 2014 #25 utafiti said: Samahani kama nitakukwaza Eti matunda ya miaka 52 ya uhuru unaweza kutengenezea juice? Click to expand... Kama yakiiva yanafaa tu, kuna tatizo kwani?
utafiti said: Samahani kama nitakukwaza Eti matunda ya miaka 52 ya uhuru unaweza kutengenezea juice? Click to expand... Kama yakiiva yanafaa tu, kuna tatizo kwani?
dnjoki JF-Expert Member Joined Jan 2, 2013 Posts 425 Reaction score 423 Feb 15, 2014 #26 Hapana hayafai kwa juisi......yanaliwa hivohivo tu,unakatakata alafu unamanga!!!!
TUJITEGEMEE Platinum Member Joined Nov 6, 2010 Posts 27,278 Reaction score 27,948 Feb 15, 2014 #27 Hata "Ziro" alianza hivi hivi...!