Ipi ni afadhali kufunga mtaa na
kuweka maturubai wakati wa msiba au kupiga muziki mchana na usiku kucha
wakati wa msiba?
Hivi siyo ni usumbufu kwa majirani muziki mkubwa usiku na labda kwa usiku 2 au 3 kucha na kufunga barabara siku 2au 3?Inategemea na msiba umeuchukuliaje na hasa kama ndo mfiwa mkuu. Kama mtu kateseka sana mi nitaweka kigodoro ila kama ndo ghafla tu kigiza chama2lubai ndo pake!
Huwa wanapewa ruhusa na nani?