Swali la kufikirisha: Inakuwaje Samia anaona Sherehe za kuzaliwa kwake ni za lazima kuliko Sherehe za Uhuru wa Tanganyika?

Swali la kufikirisha: Inakuwaje Samia anaona Sherehe za kuzaliwa kwake ni za lazima kuliko Sherehe za Uhuru wa Tanganyika?

Dadi Barnea

JF-Expert Member
Joined
Nov 30, 2024
Posts
654
Reaction score
1,305
Watanganyika bila kuamka huyu bibi amedhamiria kuifuta Tanganyika ipotee kabisa au atuachie migogoro na vita vya wenyewe kwa wenyewe: Soma comment ya mdau:

IMG_7479.jpeg
 
Hv mwislamu kusherehekea siku ya kuzaliwa c n kosa, au afanyalo mwislamu sio kigezo cha Uislamu inavyotaka 😂
 
Ni ajuza mpumbavu wa kiwango cha lami tu ndiyo unaweza kusherekea birthday ktk umri wa karibia miaka 70. Badala ya kuwaza nchi itajikwamua vipi kiuchumi, kisiasa na kijamii.

Ajuza huyu, mxiuuuu!
 
Kwenye hilo la sherehe za uhuru wa Tanganyika mtakuwa kidogo mnamuonea. Hilo suala ni mfumo umeamua kuizika hiyo sherehe ndiyo maana wamekuwa wanafanya hivyo hata kabla yake.
 
Huwa hana nia njema ata kidogo na watanganyika huyo bibi, ndo maana katumia nguvu kubwa kuwaua watanganyika
 
Back
Top Bottom