Ni sahihi kuwekwa ndani kwani wanaitumia kimakosa.Kutokana na vitabu vya dini kusema "Mungu akaona kila kitu alichokifanya, na tazama ni chema sana" na mojawapo ya alichofanya ni kuumba "BANGI" je ni sahihi serikali kurundika watu magerezani kwa kosa la bangi?
Kutokana na vitabu vya dini kusema "Mungu akaona kila kitu alichokifanya, na tazama ni chema sana" na mojawapo ya alichofanya ni kuumba "BANGI" je ni sahihi serikali kurundika watu magerezani kwa kosa la bangi?
Ujue mkuu hata ukikutwa na miche kidogo tu ya Bangi unakamatwa!!!Sidhani kama mtu anarundikwa ndani kwa KOSA LA BANGI, labda kwa matumizi mabaya ya bangi!
Sidhani kama mtu anarundikwa ndani kwa KOSA LA BANGI, labda kwa matumizi mabaya ya bangi!
Ni sahihi kuwekwa ndani kwani wanaitumia kimakosa.
Hiyo ni dawa nzuri sana kwa wagonjwa, baada ya kurekebishwa na wataalam.
Nyie madogo mnatumia hovyo hovyo ndo maana mnakuwa machizi!
Ntakujibu baadae ngoja nisome vifungu!How come watu wakamatwe kwa kosa la kulima bangi ka issue iko hivyo (refer Tarime mkoani mara na Arumeru mkoani Arusha)