Hivi kwa mfano Rais wa nchi yoyoyte duniani akimtamani mwanamke/msichana atampataje? Nasema hivi maana kila wakati ana walinzi, muda wote first lady wako wote etc. Sasa anafanyaje kumapata say Miss Nchi fulani.. Huwa linanitatiza maana Mzee wa IPP aliopoa Ntula..... nilijiuliza alimpataje maana na yeye si mtu wa kwenda mitaani etc.