Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,492
- 92,995
Wenye akili timamu tu ndio watalielewa swali langu, ccm wana mipango ya muda mrefu msije kushangaa Dr Slaa akarudi kivingine na bado anao wafuasi ndani ya Chadema hamtoamini macho yenu.
Chadema imtumie wito Dr Slaa wa kuhojiwa na kamati kuu na akikaidi taratibu zote za kisheria zifuatwe kumfuta uanachama wa Chadema na vielelezo vyote vipelekwe kwa msajili wa vyama.
CUF inapay a high price now kwa kumdharau bwana yule sasa anachezesha segere na hana cha kupoteza.
Wenye masikio na msikie, Dr Slaa ni mwanachama hai wa ccm na Chadema na anazo kadi za vyama vyote viwili, ni mipango tu atumie kadi ipi kwa muda upi na kwa malengo gani.
Mimi napita tu.......
Chadema imtumie wito Dr Slaa wa kuhojiwa na kamati kuu na akikaidi taratibu zote za kisheria zifuatwe kumfuta uanachama wa Chadema na vielelezo vyote vipelekwe kwa msajili wa vyama.
CUF inapay a high price now kwa kumdharau bwana yule sasa anachezesha segere na hana cha kupoteza.
Wenye masikio na msikie, Dr Slaa ni mwanachama hai wa ccm na Chadema na anazo kadi za vyama vyote viwili, ni mipango tu atumie kadi ipi kwa muda upi na kwa malengo gani.
Mimi napita tu.......