Swali: Kwanini wavaa Hijab wako hivi?

Status
Not open for further replies.

Kakende

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2012
Posts
2,741
Reaction score
1,233
Huwa nashangaa kwanini wasichana wanaovaa Hijab huwa wanafuga nywele au wanasuka, ukiangalia umbo la Hijab kichwani utaona kuwa wamefungia nywele kwa nyuma au wamesuka, kwanini wanasuka wakati katika maisha yao nywele zao hazitaonekana hadharani? Kwa wale walioolewa watakwambia ni spesho kwa ajili ya waume zao, kwanini hata wasichana wasio olewa bado wanasuka nywele?
 

Swali la kijinga, alafu hata hueleweki unataka nini? Sasa ukishajua wanafuga nywele itakusaidia nini?
 
Nadhani wanasuka ili aone mmewe wakiwa chumbani.
 
Sasa unataka kusema kwaajili mtu anavaa hijabu nywele ziwe timtim??Hao wasichana wakisuka au wakibana ni kwaajilii ya nafsi zao.Kwani ukipendeza mpaka umpendezee mtu???
 
Hii thread mtoa mada lazima ujute kuuliza hili swali....
 
Hakuna Muislam anaye weza kukujibu kwahekima. Wewe subiri mitusi tu.
 
Hapa sasa tutaulizwa kwa nini mtu anapokwenda haja kubwa lazima achuchumae
 
Yaani roho yake inasumbuka kweli juu ya Uislaam !...basi afanyaje !

Mkuu sina shida na uislama kabisa, nimeukuta na nitauacha. Nataka kujua, maana lengo la kusuka nywele ni ili uwe na muonekano mzuri, sasa kama wanazificha kwanini wazisuke?
 
Mwisho utauliza kwanini mtu anavaa chupi lakini ananyoa mavu*** kwanini asiyaache tim tim kwani anayaona nani?
 
Sasa unataka kusema kwaajili mtu anavaa hijabu nywele ziwe timtim??Hao wasichana wakisuka au wakibana ni kwaajilii ya nafsi zao.Kwani ukipendeza mpaka umpendezee mtu???

Mimi nilidhani inasaidia kupendeza mbele ya watu, kwani dunia nzima ingekuwa ni wanawake tu mngejilemba?
 
Hao nao ni special kwa familia yao na wala sio kwa ajili yako...
 
kakende = kapumbu
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…