Mh waziri mkuu hivi sera na taratibu zinasemaje kuwasaidia wahadhiri wa UDOM waliokuwa promoted november 2010 na hadi sasa hawajalipwa arreas zao na wanalipwa daraja la chini hali walistahili waende daraja la yaani PUTS3?
Mbona serikali kupitia kwa JK ilisema inajenga nyumba za madaktari 700 wakati huo ni mpango wa global fund chini ya mkapa foundation wa kujenga hizo nyumba kwaajili ya wauguzi wa vituo vya afya wilayani na vijijini.
Je serikali haioni kwamba umeendelea kudanganya wananchi na kuwahadaa madaktari kuhusiana na madai yao?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.