Siri ya sifuri
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 2,025
- 1,527
Habari wakuu?
Natumai mpo safi baada ya mapunziko mafupi ya week-end, na mpo tayari kuendelea kupeana maarifa au kubadilishana mawazo na kupeana mbinu za kukabiliana na changamoto za kila uchao katika maisha.
Kuna hili suala ambalo mara nyingi tunalizungumzia pasi kulitilia maana ingawaje ni jambo muhimu sana linaloweza kumtokea yeyote kati yetu na kumsababishia matatizo makubwa baina yake na mwenza wake na hata uhusiano kufa kabisa na kusambaratisha familia ambayo iliishi kwa amani na upendo wa hali ya juu.
Naongelea "FUMANIZI" Hivi ikitokea umefumaniwa na mwenza wako, "kipenzi chako" ni Utetezi gani mzuri na wa busara unaoweza kuutoa kwa mwenza wako na kunusuru uhusiano wenu!?
Binafsi sina maelezo zaidi ya "SAMAHANI; eee! Ndio, nisamehe mpenzi, mke wangu najua nimekukosea. Samahani sana. Haya nanyie wenzangu mnatokajetokaje hapo!?
Natumai mpo safi baada ya mapunziko mafupi ya week-end, na mpo tayari kuendelea kupeana maarifa au kubadilishana mawazo na kupeana mbinu za kukabiliana na changamoto za kila uchao katika maisha.
Kuna hili suala ambalo mara nyingi tunalizungumzia pasi kulitilia maana ingawaje ni jambo muhimu sana linaloweza kumtokea yeyote kati yetu na kumsababishia matatizo makubwa baina yake na mwenza wake na hata uhusiano kufa kabisa na kusambaratisha familia ambayo iliishi kwa amani na upendo wa hali ya juu.
Naongelea "FUMANIZI" Hivi ikitokea umefumaniwa na mwenza wako, "kipenzi chako" ni Utetezi gani mzuri na wa busara unaoweza kuutoa kwa mwenza wako na kunusuru uhusiano wenu!?
Binafsi sina maelezo zaidi ya "SAMAHANI; eee! Ndio, nisamehe mpenzi, mke wangu najua nimekukosea. Samahani sana. Haya nanyie wenzangu mnatokajetokaje hapo!?