Swali kwa Wanawake

Ikena

JF-Expert Member
Oct 24, 2007
553
393
Ivi ukimvulia docta wa kiume ambaye ni rika lako au ni handsome flan hivi,akakupekua kila mahali,,(hasa sehemu za siri).Baada ya kupona akaja kukuomba mkafanye matusi (sio inreturn), yani amekufili na kweli wewe una umbo balaa.Je utamwonea aibu na kumkatalia?

Je kiwango cha kumpiga tarehe kitakuwepo kweli? au kitakua kama shoka moja mbuyu chini,(assume umeisha olewa)
 
Ivi ukimvulia docta wa kiume ambaye ni rika lako au ni handsome flan hivi,akakupekua kila mahali,,(hasa sehemu za siri).Baada ya kupona akaja kukuomba mkafanye matusi (sio inreturn), yani amekufili na kweli wewe una umbo balaa.Je utamwonea aibu na kumkatalia?

Je kiwango cha kumpiga tarehe kitakuwepo kweli? au kitakua kama shoka moja mbuyu chini,(assume umeisha olewa)


thread zako bwana! aombe imekuwa lawalawa hiyo? wanatuzalisha na kutuona vilivyo ije kuwa hiyo kutibia ki juu juu ilete ishu zote hizo? kwa ujumla sielewi kichwa wala mguu wa swali lako, ngoja niache watakaokuwa wamekuelewa wakujibu inavyopaswa.
 
Ivi ukimvulia docta wa kiume ambaye ni rika lako au ni handsome flan hivi,akakupekua kila mahali,,(hasa sehemu za siri).Baada ya kupona akaja kukuomba mkafanye matusi (sio inreturn), yani amekufili na kweli wewe una umbo balaa.Je utamwonea aibu na kumkatalia?

Je kiwango cha kumpiga tarehe kitakuwepo kweli? au kitakua kama shoka moja mbuyu chini,(assume umeisha olewa)

...mnh, :(

Siri nyingine zinatakiwa zibakie huko huko kwenye Gynaecological examination... mtakuja kataa madakitari buree, wake zenu wabakie tasa!

...halafu sio lazima awe rika lake!

Personally na Very bad experience ya kimada fulani, katika kukuru kakara zake za kutoa mimba (haikuwa yangu!), akaangukia mikononi mwa huyo 'Gynaecologist' tena wala jamaa hakuwa Qualified,..matokeo yake ikawa kula nikule weee...

sijamsamehe mpaka leo huyo Binti na huyo Dakitari wake!
 
...mnh, :(

Siri nyingine zinatakiwa zibakie huko huko kwenye Gynaecological examination... mtakuja kataa madakitari buree, wake zenu wabakie tasa!

...halafu sio lazima awe rika lake!

Personally na Very bad experience ya kimada fulani, katika kukuru kakara zake za kutoa mimba (haikuwa yangu!), akaangukia mikononi mwa huyo 'Gynaecologist' tena wala jamaa hakuwa Qualified,..matokeo yake ikawa kula nikule weee...

sijamsamehe mpaka leo huyo Binti na huyo Dakitari wake!

.. Haikuwa ya kwako........ ila hujamsamehe mpaka leo. Aksante.

Ikena ndugu yangu kwanza jiulize huwa anawafili wangapi anaotokea kuwachungulia anapokuwa anawatibia.

Afu umenichekesha asa nina figa balaa ila ndo nshaolewa sasa nimfikiire wa nini tena? ah mbona keshaziona za kila aina sina haja ya kuwa na aibu kiasi cha kushindwa kumpiga kibuti kama nimeamua hivyo.
 
thread zako bwana! aombe imekuwa lawalawa hiyo? wanatuzalisha na kutuona vilivyo ije kuwa hiyo kutibia ki juu juu ilete ishu zote hizo? kwa ujumla sielewi kichwa wala mguu wa swali lako, ngoja niache watakaokuwa wamekuelewa wakujibu inavyopaswa.

No comments.
 
.. Haikuwa ya kwako........ ila hujamsamehe mpaka leo. Aksante.

...that's right....

au unataka na ufafanuzi?

nilikuwa ng'ambo, huko bongo yeye akafanya madudu akanasa. Baada ya kuing'oa, hakuishia hapo, akaanza uhusiano na huyo dakitari.

Got it now?
 
...that's right....

au unataka na ufafanuzi?

nilikuwa ng'ambo, huko bongo yeye akafanya madudu akanasa. Baada ya kuing'oa, hakuishia hapo, akaanza uhusiano na huyo dakitari.

Got it now?

kwa hiyo huyo Daktari aliamua kuoa kabisa!!!!
 
...that's right....

au unataka na ufafanuzi?

nilikuwa ng'ambo, huko bongo yeye akafanya madudu akanasa. Baada ya kuing'oa, hakuishia hapo, akaanza uhusiano na huyo dakitari.

Got it now?


Thanx kaka I was just pulling ya leg......
 
No comment this is really serious and we pray it can not happen as there is ethics in medicine
 
Kumkubali au kumkataa haihusiane kabisa na kwamba yeye ameshaniona sehemu zangu nyeti. kama simpendi simpendi.
 
Samahani mimi si mwanamke, maana swali limelenga kwa wanawake.
Ndugu yangu, hapa itategemeana ndoa yako. Kama wewe unaheshimu ndoa yako, haina matatizo, mnaishi vizuri na mume basi kumkubali huyo daktari ni nadra sana. Lakini kama wewe ni kiruka njia, basi atakulamba tu. Huwa nafikilia sana kwa nini ndoa nyingi zinafungwa na nyingi zinamatatizo, zinavunjika? Ukimkubali dokta na mume akainyaka basi shughuri ipo.
By the way kama haujaolewa, hapa itategemeana na akili yako maana kuna baadhi ya wasichana huwanza kujiuliza. leo kaona uke wangu kautamani je kesho akiona uke wa Miss x si atatamani tena. Kwa kweli.

All in all, kumkubali au kumkataa inategemeana na wewe, mazingira ya ndoa yako n.k
 
No comment this is really serious and we pray it can not happen as there is ethics in medicine

...oh yeah, It is happening mshiiri,...nazijua cases hizi Bongo. tena kuna mmoja alikuwa Lab technician, ...akishamaliza routine lab tests, na akiridhika pasafi..kinachofuatia ni kuomba.

Na yule bwana mdogo wa Kisiwani naye, sijui hawakumfundisha Medical ethics pale MUCHS, au ni tabia ya mtu tu?

Kumkubali au kumkataa haihusiane kabisa na kwamba yeye ameshaniona sehemu zangu nyeti. kama simpendi simpendi.

...Ukimpenda?

Samahani mimi si mwanamke, maana swali limelenga kwa wanawake.
Ndugu yangu, hapa itategemeana ndoa yako. Kama wewe unaheshimu ndoa yako, haina matatizo, mnaishi vizuri na mume basi kumkubali huyo daktari ni nadra sana. Lakini kama wewe ni kiruka njia, basi atakulamba tu.

...safi sana

Huwa nafikilia sana kwa nini ndoa nyingi zinafungwa na nyingi zinamatatizo, zinavunjika? Ukimkubali dokta na mume akainyaka basi shughuri ipo.
By the way kama haujaolewa, hapa itategemeana na akili yako maana kuna baadhi ya wasichana huwanza kujiuliza. leo kaona uke wangu kautamani je kesho akiona uke wa Miss x si atatamani tena

... mwalimu wao kipofu!

Kwa kweli.

All in all, kumkubali au kumkataa inategemeana na wewe, mazingira ya ndoa yako n.k

...yaani mazingira ya ndoa yako ndio yakupelekee ufanye ngono na Dakitari wako? Nakataa... msije nitoa macho eti Dakitari naye si mtu,...Kuna Ethics za kazi wajameni! Dakitari/Muuguzi kutembea na mgonjwa is wrong!
 
Imagine wewe Mbu ni doctor unamfanyia uchunguzi kifaa kama irene uwoya.....hutaomba sub kweli?
 
...aaaa, wapi...kapiga piga tu akaacha...



...;) ...tena nusura 'uuchomoe', taratibu jamani Mwa'jamii#1

duh, hapa mmeniacha hoi... huo mguu, daktari, mmmm pole kakangu...sasa fimbo ya mbali siwajua tena...
 
'any sexual contact or romantic relationship with patients is unethical'.Hicho ni kipengele kimojawapo cha ethics in medicine.wanaongeza...'keep your relationship(dr) with the patient within professional bounds...calmly but firmly make it clear that your relationship is professional not personal'
sasa haya mambo ya kubanjuka na wagonjwa ni hulka tu ya madaktari wakwale lakini wanaoiheshimu taaluma yao hawawezi kuthubutu hata mara moja.
sema kina dada sometimes wanakuwa flirtatious wenyewe wakati wakiwa kwenye chumba cha daktari.tena akianza kufanyiwa physical examination ndiyo inakuwa balaa.na ukichanganya na utamaduni wetu kuwa mwanamke akishaonwa utupu wake anakuwa hana ujanja basi hapo ndipo haya mahusiano batili yanapoanza.
kwahiyo ninachotaka kusema ni kwamba mdada kubanjuliwa na daktari wake ni kujitakia mwenyewe otherwise anaweza kumkatalia na uhusiano wake na wa daktari wake ukaendelea kuwa wa kawaida.
sasa uliyeleta mada-hii kitu si inakwenda both ways,i mean mbona hujazungumzia madaktari wanawake wanaowa attend waume za watu?
 
Kuna two things, kuugua au kujifungua. Haya mambo yakitokea, ndio pale hata mumeo hatakuwa na mawazo kuwa unachunguliwa au kuchokonolewa (sorry, namaanisha kuchekiwa njia/kuwekewa kidonge cha uchungu kwenye kujifungua) na daktari wa kiume. Pale mawazo yenu yoote yatakuwa kwenye wewe kupona au kujifungua salama.

Hivyo, hata baada ya hapo, wazo la kuwa umechunguliwa haliwezi kuwepo. Wewe chukulia mfano mtu unaenda kufanyiwa operation, pale mwanawane ni unachojolewa kila kitu, sasa utaanza kuona aibu tena wakati lengo ni kupona..??

Swala la daktari kukutokea eti ukamkubalia kwa sababu wakati anakutibu alikuona sehemu za siri, mimi sioni kuwa ni sahihi. Manake basi kama ni hivyo kwenye operation au kujifungua ambapo huwa kuna timu ya watu sometimes hadi kumi, ina maana utachunguliwa na kila mmoja wao, na ikitokea wote wamekutamani basi utasleep na wote hao.

Kutembea au kutotembea na daktari, ni uamuzi independent kabisa, na naona kabisa kuwa mtu akimkubalia dk kwa sababu hizo ni kutafuta tu justification ya kucheat au kufanya maamuzi hayo.
 
...
Swala la daktari kukutokea eti ukamkubalia kwa sababu wakati anakutibu alikuona sehemu za siri, mimi sioni kuwa ni sahihi
. Manake basi kama ni hivyo kwenye operation au kujifungua ambapo huwa kuna timu ya watu sometimes hadi kumi, ina maana utachunguliwa na kila mmoja wao, na ikitokea wote wamekutamani basi utasleep na wote hao.

Kutembea au kutotembea na daktari, ni uamuzi independent kabisa, na naona kabisa kuwa mtu akimkubalia dk kwa sababu hizo ni kutafuta tu justification ya kucheat au kufanya maamuzi hayo.

...sema kina dada sometimes wanakuwa flirtatious wenyewe wakati wakiwa kwenye chumba cha daktari.tena akianza kufanyiwa physical examination ndiyo inakuwa balaa.na ukichanganya na utamaduni wetu kuwa mwanamke akishaonwa utupu wake anakuwa hana ujanja basi hapo ndipo haya mahusiano batili yanapoanza.
kwahiyo ninachotaka kusema ni kwamba mdada kubanjuliwa na daktari wake ni kujitakia mwenyewe otherwise anaweza kumkatalia na uhusiano wake na wa daktari wake ukaendelea kuwa wa kawaida.
sasa uliyeleta mada-hii kitu si inakwenda both ways,i mean mbona hujazungumzia madaktari wanawake wanaowa attend waume za watu?

...wao wanakataa, wanadai eti bahati mbaya! njia mbadala ya kuhalalisha umalaya wake! ..kwa visingizio hawa!
 
Ivi ukimvulia docta wa kiume ambaye ni rika lako au ni handsome flan hivi,akakupekua kila mahali,,(hasa sehemu za siri).Baada ya kupona akaja kukuomba mkafanye matusi (sio inreturn), yani amekufili na kweli wewe una umbo balaa.Je utamwonea aibu na kumkatalia?

Je kiwango cha kumpiga tarehe kitakuwepo kweli? au kitakua kama shoka moja mbuyu chini,(assume umeisha olewa)

..ninachoshukuru mke wangu hasomi humu....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom