Ivi ukimvulia docta wa kiume ambaye ni rika lako au ni handsome flan hivi,akakupekua kila mahali,,(hasa sehemu za siri).Baada ya kupona akaja kukuomba mkafanye matusi (sio inreturn), yani amekufili na kweli wewe una umbo balaa.Je utamwonea aibu na kumkatalia?
Je kiwango cha kumpiga tarehe kitakuwepo kweli? au kitakua kama shoka moja mbuyu chini,(assume umeisha olewa)
Je kiwango cha kumpiga tarehe kitakuwepo kweli? au kitakua kama shoka moja mbuyu chini,(assume umeisha olewa)