Ni hivi, assume kuna mwanaume ulivutiwa nae sana muda mrefu mpaka ukatamani kuwa nae kimahusiano ila yeye hakukupa attention kiiivo kama unavotaka iwe kwa sababu zake mwenyewe.
Siku ya siku mwanaume huyo vuuup akaja kwako ndo mpo nae sebuleni sasa wewe nayeye! Awali ya yote utafanya nini? Je sikuyako hio itaishajeishaje nahuyo mtu??
Wanaume pia ruksa kutoa maoni.
Dah hongera sana kwa kutomuharibia binti wawatu! So haikuwa ile love yenyewe yenyewe og ni kwakua uliachana na uliekua naye ukaenda kupoozea maumivu!! Pole na hongera pia
Ni hivi, assume kuna mwanaume ulivutiwa nae sana muda mrefu mpaka ukatamani kuwa nae kimahusiano ila yeye hakukupa attention kiiivo kama unavotaka iwe kwa sababu zake mwenyewe.
Siku ya siku mwanaume huyo vuuup akaja kwako ndo mpo nae sebuleni sasa wewe nayeye! Awali ya yote utafanya nini? Je sikuyako hio itaishajeishaje nahuyo mtu??
Wanaume pia ruksa kutoa maoni.