Swali kwa wanawake

Nishawahi lala kwa mwanamke kitanda kimoja bila kulala nae.. alikuwa bikra by the moment nilikuwa napitia mauvu ya breakup


Alikuwa anajiheshimu sana na Mimi niliona ningeishia kumchezea tu
 
Nishawahi lala kwa mwanamke kitanda kimoja bila kulala nae.. alikuwa bikra by the moment nilikuwa napitia mauvu ya breakup


Alikuwa anajiheshimu sana na Mimi niliona ningeishia kumchezea tu
Dah hongera sana kwa kutomuharibia binti wawatu! So haikuwa ile love yenyewe yenyewe og ni kwakua uliachana na uliekua naye ukaenda kupoozea maumivu!! Pole na hongera pia
 
Sema unataka tukushauri uliwe kimasihara au usiliwe kimasihara....

Mi nakushauri jitongozeshe tu ila usisahau kumuhudumia huyo mwanaume maana wewe ndo unampenda na unataka kuwa nae kwenye mahusiano..
 
Sema unataka tukushauri uliwe kimasihara au usiliwe kimasihara....

Mi nakushauri jitongozeshe tu ila usisahau kumuhudumia huyo mwanaume maana wewe ndo unampenda na unataka kuwa nae kwenye mahusiano..
Hahaa! Kumbe nanyie mnaliwaga kimasihara?
 
Umevunja ungo juzi hujakomaa.hizo ni genye matamanio.ila pole sana ngoja wataalam wakuje
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…