Ukimvutia mwanamke then ukampotezea if it wont turn tu a hate basi atakuchukulia poa sana siku ukirudi and probably hutampata kabisa.
Mademu wote waliowahi kunikubali then nikawapotezea bila kuwapelekea moto kwakua nipo kwenye mahusiano mengine sikuwahi kuwapata nlivyowarudia, until nlipogundua a rule of thumb, mpelekee moto then mpotezee ukirudi una nafasi kubwa ya kusamehewa.