Swali kwa wanawake tu

Swali kwa wanawake tu

Me370

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2008
Posts
985
Reaction score
293
Swali kwa Wanawake tu.

Je Mwanaume yupi mwenye mapenzi ya dhati kati ya Hawa wa 2.

Mwanaume ambaye yupo tayari kukuhonga kila kitu alichokuwa nacho na yeye kubaki fukara kabisa huku akikubembeleza usimuache Au

Yule ambaye anatoa chozi lake juu yako na kukulilia kwa uchungu huku akikubembeleza usimuache?
 
Yule ambae anatoa chozi na kunililia kwa uchungu na yupo tayari kufa juu yangu lol
 
a hero, is this one here...

standing with his woman forever.. wherever, at whatever, at any condition nk..

 
Last edited by a moderator:
No. 2 aweza kuwa muigizaji mzuri kweli, chozi la uongo. Baada ya kukulilia hapo anarudia maovu yake.....
No. 1 inanipa shida kidogo kukubali maana umetumia neno "kuhonga"
...Hakuna jibu lililosahihi
 
I want him more akiwa hai, akifa nitakonda kwa ajili yake.

Onyo: msiwape utamu wa kuwaua watu wenu.

ndo mapenzi ya dhati...:majani7: mtu awe tayari hata ajitoe muhaga uhai wake for the sake of love ha ha ha...Atakufa shujaa lol
 
Mwanaume analialia wa nini,ili iweje??kwani amekuwa angelo anaigiza the promise
 
Wa kwanza hajiamini,hanifai.
Wa pili ndio dah!! Mwanaume wa kujiliza liza wa kazi gani? Nani anataka uchuro?
Mwanaume anipende awezavyo lakini asipoteze sifa ya kujitambua!!!
 
Swali kwa Wanawake tu.

Je Mwanaume yupi mwenye mapenzi ya dhati kati ya Hawa wa 2.

Mwanaume ambaye yupo tayari kukuhonga kila kitu alichokuwa nacho na yeye kubaki fukara kabisa huku akikubembeleza usimuache Au

Yule ambaye anatoa chozi lake juu yako na kukulilia kwa uchungu huku akikubembeleza usimuache?



Duuuuuuh! bado hapo sijaona anayenipenda/ ninayeweza kusema nimempenda coz huyo anayenihonga na kuwa fukara akinioa atakuwa ameuaga ukoo wake mazima ,wakati familia zote mbili ni zinatuhusu( NITAMKALIA).

Huyu wa pili nae atakuwa amenipenda sana kuliko mimi ninavyompenda wakati mapenzi mazuri ni wote kupendana kwa dhati.(NITAMUUMIZA ALWAYS)
 
Nimeipenda hiyo dada, Mume ni yule anayesimama kama kiongozi na sio msaidizi. lol!
 
Back
Top Bottom