Swali kwa wanaume!!

Swali kwa wanaume!!

Sometimes mwanamke anaweza kutafsiri neno alilolitamka mwanaume tofauti na jinsi mwanaume alikuwa anamaanisha, na hata akipewa ufafanuzi hakubaliani; kwa kosa kama hili mimi siwezi kuomba msamaha kwa sababu sina kosa.

Baadhi ya makosa ni repititve, mwanaume unaona hakuna sababu ya kuomba msamaha wakati unajua kosa utalirudia, na samahani nyingi nazo zina-dilute radha ya samahani.

Ukiomba samahani unakuwa umekubali kwamba umekosa, so kuendelea kushikilia msimamo huombi samahani yoyote; au unasema tu "Samahani kama nimekukosea", hii ni samahani hewa kwa sababu haikubali kosa.

Sio kila kosa lina uzito wa samahani, makosa mengine ni madogo dogo tu, mnatakiwa kusema poa basi yaishe. Na baadhi ya wanawake ukiwa mwepesi sana wa kuomba samahani wanakuona msanii!!!
 
Sometimes mwanamke anaweza kutafsiri neno alilolitamka mwanaume tofauti na jinsi mwanaume alikuwa anamaanisha, na hata akipewa ufafanuzi hakubaliani; kwa kosa kama hili mimi siwezi kuomba msamaha kwa sababu sina kosa.

Baadhi ya makosa ni repititve, mwanaume unaona hakuna sababu ya kuomba msamaha wakati unajua kosa utalirudia, na samahani nyingi nazo zina-dilute radha ya samahani.

Ukiomba samahani unakuwa umekubali kwamba umekosa, so kuendelea kushikilia msimamo huombi samahani yoyote; au unasema tu "Samahani kama nimekukosea", hii ni samahani hewa kwa sababu haikubali kosa.

Sio kila kosa lina uzito wa samahani, makosa mengine ni madogo dogo tu, mnatakiwa kusema poa basi yaishe. Na baadhi ya wanawake ukiwa mwepesi sana wa kuomba samahani wanakuona msanii!!!
"Samahani hewa" eti watu8 kuna kitu kama hiki?
 
Last edited by a moderator:
Mm hata akinifuma nagegeda sikubali nasema nilikuwa kwenye research.
 
Kwani ww unamchukuliaje mtu anayeitwa MWANAUME?

Halafu mbona kama unataka kushindana naye?

Men are PRAGMATIC
 
Niseme tu....hakufeel kivile!!!
mhhhh kwahio wewe unasema mtu akikupenda kwa dhati atajishusha kuomba msamaha kama akikosea…lakini mimi nazungumzia just men in general sio lazima iwe kwenye mahusiano!!!
 
ni suala tu la hulka za mtu kwa maana wapo pia wanawake wasiopenda kuomba msamaha japokuwa wanaume ndo wanaongoza
 
"Samahani hewa" eti watu8 kuna kitu kama hiki?

Msemo huo upo katika lugha yetu, sijui uliibuliwa wapi na lini!!

Neno hewa likiambatanishwa na nomino "ahadi", "msamaha au samahani" n.k humaanisha kitu ambacho huwezi kukipa kipaumbele, kwa kiswahili cha mtaani vijana huita "changa la macho".
 
Habari za saa hizi,
Kuna kitu kimenijia leo katika fikra zangu kwanini ni vigumu sana kwa
mwanaume kuomba samahani,wengine hata wajue makosa ni yao hawakiri
wakaomba samahani.Nakosa majibu kwanini?Kuna kitu chochote ambacho
kinahusiana na uanaume ambacho kitapungua au kitaharibika iwapo
mtajishusha?

Sisi wanaume kutoka mkoa wa Mara tuna uwezo (mila zinaruhusu) wa kuoa idadi yoyote ya wanawake! Mazingira hayo unategemea nitampigia mwanamke ninayemtunza magoti?
 
mhhhh kwahio wewe unasema mtu akikupenda kwa dhati atajishusha kuomba msamaha kama akikosea…lakini mimi nazungumzia just men in general sio lazima iwe kwenye mahusiano!!!

Hata kama ni rafiki wa kawaida...dont really matter!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom