King’asti
Platinum Member
- Nov 26, 2009
- 27,823
- 24,781
Hehehe, senk yu best. Hakuna issue hapo aisee, sometimes we do it for love actually.
Straight to the point!!!! Thank you best
Straight to the point!!!! Thank you best
hivi mtu ana-save sh ngapi hadi akalale na dada yake chumba kimoja?
Hizo pesa zisizo na staha hata kwa maadili zina tofauti gani na pesa chafu zingine?
Yaani sh. 5000 inilaze chumba kimoja na kaka labda nina bishara ya mtaji ya laki 5?
Sijajua mantiki au mazingira ya kujikuta uko na kaka room moja na wala sio kwamba ni emergency, tena zaidi ya mara moja???
Lazima mtiane tu ikishakuwa mara kwa mara mnalala room moja.
Konnie, let me tell u this, wakati mwingine tunafanya mambo kwa upendo tu na sio issue ya hela.
Niliwahi kuwa napita on transit kwenye jiji alilokuwa anaishi kakangu (he is nt just my bro, but my friend too). Sheria ya kampuni ni kuwa I'm booked in a fully paid 4* hotel na company transport. Na nisipolala hotelini hata airport sipelekwi. Kumbuka hakuna refund ya hela! Wakati huo kakangu mambo hayajamnyookea, ana a two bedroomed apartment, mke na hgeli na a lil precious gal. Nilikuwa na-opt kulala kwa kakangu kwa kushare room na hgeli tena isiyo na kipupwe. Sikuwa na-save hela yoyote na alilazimika kuamka usiku na kunipeleka airport. Kumbuka hotel room ililala empty na 3 course meal was a signature away. Lakini the fact kuwa tutakula ubwabwa wa nyama mbili pamoja, tucheke na kuongea yetu for hours, nilale kidogo then niondoke it was worth more than the hotel luxuries!
So huyo kaka na dadake inawezekana isiwe issue ya hela peke yake.
Hehehe best nilikwambia juzi character inachukua asilimia kubwa sana sasa umethibitisha maneno yangu lol!
Mchumba wa rafiki yangu ana nyumba amejenga dar ambapo ameweka wapangaji lakini chumba kimoja Amempa dadake akae bure.Cha Ajabu ni kwamba Huyu kaka ambae Ni Mchumba wa rafiki yangu kila akija dar anashukia katika nyumba yake na kulala chumba kimoja na dada.Eti anatandika godoro chini na dada analalq kitandani.Swali langu kwa wanaume ni Je hivi unaweza kulala na dada wa tumbo Moja kwa baba na mama bila kupata hisia za ajabu?
Lol! Nashangaa haujaniwekea kawimbo best. Afu nikija huko nitafikia kwako ujue!
Another thing, hiyo ya kuvaa night dress nyepesi na unajua unaenda kufikia kwa kakako ni exaggerations tu banaa! Wala huwezi kulala na khanga moko!
Konnie, let me tell u this, wakati mwingine tunafanya mambo kwa upendo tu na sio issue ya hela.
Niliwahi kuwa napita on transit kwenye jiji alilokuwa anaishi kakangu (he is nt just my bro, but my friend too). Sheria ya kampuni ni kuwa I'm booked in a fully paid 4* hotel na company transport. Na nisipolala hotelini hata airport sipelekwi. Kumbuka hakuna refund ya hela! Wakati huo kakangu mambo hayajamnyookea, ana a two bedroomed apartment, mke na hgeli na a lil precious gal. Nilikuwa na-opt kulala kwa kakangu kwa kushare room na hgeli tena isiyo na kipupwe. Sikuwa na-save hela yoyote na alilazimika kuamka usiku na kunipeleka airport. Kumbuka hotel room ililala empty na 3 course meal was a signature away. Lakini the fact kuwa tutakula ubwabwa wa nyama mbili pamoja, tucheke na kuongea yetu for hours, nilale kidogo then niondoke it was worth more than the hotel luxuries!
So huyo kaka na dadake inawezekana isiwe issue ya hela peke yake.
Hiyo sentensi ina-make a very big difference, je kaka ako ngekuwa na rum moja na kitanda kimoja ungeacha hotel ukaenda share kitanda na kaka kwa ajili ya story?
aaah @queenkami, naomba hata nisisome replies za wengine:
Kwani tangu lini tumegeuka mbuzi ambaye akikua tu anaanza kumpanda mama yake!?? Si nilidhani binadamu tumeumbwa na utashi!??
No honestly, nimeshangazwa na mshangao wako kuwa mchumba wa rafiki yako analala na dada yake..so what is the big deal!?? Si ni dada yake? Umeshaenda kota za polisi? Nyumba ina vyumba viwili...mzee ana watoto wa kike na kiume..wanalalaje ati!???
Oh on a personal note, mimi mdogo wangu anakuja kunitembelea weekend ijayo from Moshi (yuko likizo..form six) na atalala kwangu..kwa kaka yake...na tena sitandiki godoro chini...na bado nina mwingine yuko Ardhi University naye kama mitihani itakuwa imepungua atakuja pia..we spend the night together...he!!!! wat the hell is hapenning to the world!????
Dada, huo ni utovu wa adabu na heshima. Kama hilo lipo ni la ovyo na la kukemewa. Hukulipenda ndio maana umelianika hapa. Nilikuwa na jirani yangu mwanaume, ana mabinti zake wakubwa tu wako sekondari. Mmoja kati ya mabinti hao alikuwa akiitwa na baba yake baa kupewa soda, akifika anampapasa baba yake kifuani mpaka tumboni, ndani ya shati, kuonyesha jinsi anavyompenda baba yake. Je, waweza kufanya hilo?Mchumba wa rafiki yangu ana nyumba amejenga dar ambapo ameweka wapangaji lakini chumba kimoja Amempa dadake akae bure.Cha Ajabu ni kwamba Huyu kaka ambae Ni Mchumba wa rafiki yangu kila akija dar anashukia katika nyumba yake na kulala chumba kimoja na dada.Eti anatandika godoro chini na dada analalq kitandani.Swali langu kwa wanaume ni Je hivi unaweza kulala na dada wa tumbo Moja kwa baba na mama bila kupata hisia za ajabu?
Dada, huo ni utovu wa adabu na heshima. Kama hilo lipo ni la ovyo na la kukemewa. Hukulipenda ndio maana umelianika hapa. Nilikuwa na jirani yangu mwanaume, ana mabinti zake wakubwa tu wako sekondari. Mmoja kati ya mabinti hao alikuwa akiitwa na baba yake baa kupewa soda, akifika anampapasa baba yake kifuani mpaka tumboni, ndani ya shati, kuonyesha jinsi anavyompenda baba yake. Je, waweza kufanya hilo?