Swali kwa wanaume

Kama nitalala chini, yeye kitandani, that's ok as long as nitaingia chumbani akiwa ameshaoga, ameshapigapiga simu zake za ajabuajabu na hana tena movements chumbani! Kulala nae kitandani haiwezekani! Eti nigusane ****** na dadaangu, na yuko ndani ya nguo laini ya kulalia, .....kwanza ni bonge ya kero! Na ikitokea mka dot dot..unaeza omba dunia ipasuke uingie. Aibua
 
Konnie, let me tell u this, wakati mwingine tunafanya mambo kwa upendo tu na sio issue ya hela.

Niliwahi kuwa napita on transit kwenye jiji alilokuwa anaishi kakangu (he is nt just my bro, but my friend too). Sheria ya kampuni ni kuwa I'm booked in a fully paid 4* hotel na company transport. Na nisipolala hotelini hata airport sipelekwi. Kumbuka hakuna refund ya hela! Wakati huo kakangu mambo hayajamnyookea, ana a two bedroomed apartment, mke na hgeli na a lil precious gal. Nilikuwa na-opt kulala kwa kakangu kwa kushare room na hgeli tena isiyo na kipupwe. Sikuwa na-save hela yoyote na alilazimika kuamka usiku na kunipeleka airport. Kumbuka hotel room ililala empty na 3 course meal was a signature away. Lakini the fact kuwa tutakula ubwabwa wa nyama mbili pamoja, tucheke na kuongea yetu for hours, nilale kidogo then niondoke it was worth more than the hotel luxuries!

So huyo kaka na dadake inawezekana isiwe issue ya hela peke yake.
hivi mtu ana-save sh ngapi hadi akalale na dada yake chumba kimoja?
Hizo pesa zisizo na staha hata kwa maadili zina tofauti gani na pesa chafu zingine?

Yaani sh. 5000 inilaze chumba kimoja na kaka labda nina bishara ya mtaji ya laki 5?

Sijajua mantiki au mazingira ya kujikuta uko na kaka room moja na wala sio kwamba ni emergency, tena zaidi ya mara moja???

Lazima mtiane tu ikishakuwa mara kwa mara mnalala room moja.
 
Hehehe best nilikwambia juzi character inachukua asilimia kubwa sana :) sasa umethibitisha maneno yangu lol!

Konnie, let me tell u this, wakati mwingine tunafanya mambo kwa upendo tu na sio issue ya hela.

Niliwahi kuwa napita on transit kwenye jiji alilokuwa anaishi kakangu (he is nt just my bro, but my friend too). Sheria ya kampuni ni kuwa I'm booked in a fully paid 4* hotel na company transport. Na nisipolala hotelini hata airport sipelekwi. Kumbuka hakuna refund ya hela! Wakati huo kakangu mambo hayajamnyookea, ana a two bedroomed apartment, mke na hgeli na a lil precious gal. Nilikuwa na-opt kulala kwa kakangu kwa kushare room na hgeli tena isiyo na kipupwe. Sikuwa na-save hela yoyote na alilazimika kuamka usiku na kunipeleka airport. Kumbuka hotel room ililala empty na 3 course meal was a signature away. Lakini the fact kuwa tutakula ubwabwa wa nyama mbili pamoja, tucheke na kuongea yetu for hours, nilale kidogo then niondoke it was worth more than the hotel luxuries!

So huyo kaka na dadake inawezekana isiwe issue ya hela peke yake.
 
Lol! Nashangaa haujaniwekea kawimbo best. Afu nikija huko nitafikia kwako ujue!

Another thing, hiyo ya kuvaa night dress nyepesi na unajua unaenda kufikia kwa kakako ni exaggerations tu banaa! Wala huwezi kulala na khanga moko!
Hehehe best nilikwambia juzi character inachukua asilimia kubwa sana :) sasa umethibitisha maneno yangu lol!
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Mchumba wa rafiki yangu ana nyumba amejenga dar ambapo ameweka wapangaji lakini chumba kimoja Amempa dadake akae bure.Cha Ajabu ni kwamba Huyu kaka ambae Ni Mchumba wa rafiki yangu kila akija dar anashukia katika nyumba yake na kulala chumba kimoja na dada.Eti anatandika godoro chini na dada analalq kitandani.Swali langu kwa wanaume ni Je hivi unaweza kulala na dada wa tumbo Moja kwa baba na mama bila kupata hisia za ajabu?

Inawezekana sana tu... Hujaona watu wa tumbo moja wakioga kwenye swimming pool. Kupata hisia kwa dada yako wa damu ni sawa na kuona titi la mama yako mzazi na uume kusimama .. hiyo ni dalili ya laana na mtu wa aina hiyo anahitaji maombi.. mtu wa aina hiyo pia ni mzinzi kupitiliza nadhani hata shetani anamshangaa ..
 
Lol! Nashangaa haujaniwekea kawimbo best. Afu nikija huko nitafikia kwako ujue!

Another thing, hiyo ya kuvaa night dress nyepesi na unajua unaenda kufikia kwa kakako ni exaggerations tu banaa! Wala huwezi kulala na khanga moko!


LOL! omba lingine best...wala usiwe na shida Best unakaribishwa sana tena kwa mikono miwili utakula na kulala kwa raha zako na Airport utapelekwa :)

 
Last edited by a moderator:
Hiyo sentensi ina-make a very big difference, je kaka ako ngekuwa na rum moja na kitanda kimoja ungeacha hotel ukaenda share kitanda na kaka kwa ajili ya story?

Konnie, let me tell u this, wakati mwingine tunafanya mambo kwa upendo tu na sio issue ya hela.

Niliwahi kuwa napita on transit kwenye jiji alilokuwa anaishi kakangu (he is nt just my bro, but my friend too). Sheria ya kampuni ni kuwa I'm booked in a fully paid 4* hotel na company transport. Na nisipolala hotelini hata airport sipelekwi. Kumbuka hakuna refund ya hela! Wakati huo kakangu mambo hayajamnyookea, ana a two bedroomed apartment, mke na hgeli na a lil precious gal. Nilikuwa na-opt kulala kwa kakangu kwa kushare room na hgeli tena isiyo na kipupwe. Sikuwa na-save hela yoyote na alilazimika kuamka usiku na kunipeleka airport. Kumbuka hotel room ililala empty na 3 course meal was a signature away. Lakini the fact kuwa tutakula ubwabwa wa nyama mbili pamoja, tucheke na kuongea yetu for hours, nilale kidogo then niondoke it was worth more than the hotel luxuries!

So huyo kaka na dadake inawezekana isiwe issue ya hela peke yake.
 
mim naweza lala na sist haiwezi hata simama ila sasa inategemeana na mazingira sio kila trip tulale chumba kimoja!!!!
 
Waheshimiwa mnaosema haiwezekani, naomab niwahiji kwanza, Hamjawahi kulala matanga? Je uliwahi kutamani chochote pale?

Kwanza sisi wote ni kaka na dada, kama huamini basi kwa taarifa yako ss wote baba yetu ni Adam na mama yetu ni Hawa.
 
aaah @queenkami, naomba hata nisisome replies za wengine:

Kwani tangu lini tumegeuka mbuzi ambaye akikua tu anaanza kumpanda mama yake!?? Si nilidhani binadamu tumeumbwa na utashi!??
No honestly, nimeshangazwa na mshangao wako kuwa mchumba wa rafiki yako analala na dada yake..so what is the big deal!?? Si ni dada yake? Umeshaenda kota za polisi? Nyumba ina vyumba viwili...mzee ana watoto wa kike na kiume..wanalalaje ati!???
Oh on a personal note, mimi mdogo wangu anakuja kunitembelea weekend ijayo from Moshi (yuko likizo..form six) na atalala kwangu..kwa kaka yake...na tena sitandiki godoro chini...na bado nina mwingine yuko Ardhi University naye kama mitihani itakuwa imepungua atakuja pia..we spend the night together...he!!!! wat the hell is hapenning to the world!????
 
Inategemea na mazingira uliyokulia, kama mimi nitalala naye tu endapo hakuna option mfano sina hela ya kukodi chumba au hakuna rafiki jirani naweza kulala kwake na labda yeye au mimi awe ni mgonjwa na anahitaji uangalizi na hii sio kwamba nahofia kumtamani na kupelekea kufanya naye ngono lakini kiukweli sio maadili, mimi nakumbuka jamii zetu wengine hata kula tu hatuchanganyikani, wanawake wanakula peke yao na wanaume tunakula peke yetu ndo iwe kulala sio vizuri hata Mungu hapendi, msifanye hivyo tena hata ikitokea pls msilale kitanda kimoja mwanamme tafuta tandiko ulale chini hata kama ni mkeka.
 
Mbona zamani waafrika tulikuwa tunakaa kaka hapa dada pale, baba, mama na majirani pamoja tena "without kabisa". Huyu anaona kengele za mwenzake, yule anaona filimbi ya mwenzake na bado hakukuwa na kubakana? Leo hii tunavaa nguo ndio unashangaa dada na kaka kulala pamoja.
 
Hiyo sentensi ina-make a very big difference, je kaka ako ngekuwa na rum moja na kitanda kimoja ungeacha hotel ukaenda share kitanda na kaka kwa ajili ya story?

Jamani Jamani.....

Mi nakubaliana na Kongosho na Roulette kimtizamo kuhusu hili

It is wrong, and again wron in principle!

Hoja hapa ni kwamba kwa hii case hakuna sababu yenye mashiko ya kulala na dada yake. I mean, umejenga nyumba kisha huwezi kuafford gest? kama stori na dada yako piga naye hadi saa nne, sepa zako kalale for all the good reason......hisia za ngono pembeni, ila suala la utu wake, privacy yake na yako, convenience...u mention all

SIO SAWA kabisa.
queenkami, mwambie uyo rasiki yako anakosea sana in fact mtaani wakijua itakuwa issue kubwa sana...hata kama anatandika godoro chini, bado sio sawa.
 
Last edited by a moderator:
aaah @queenkami, naomba hata nisisome replies za wengine:

Kwani tangu lini tumegeuka mbuzi ambaye akikua tu anaanza kumpanda mama yake!?? Si nilidhani binadamu tumeumbwa na utashi!??
No honestly, nimeshangazwa na mshangao wako kuwa mchumba wa rafiki yako analala na dada yake..so what is the big deal!?? Si ni dada yake? Umeshaenda kota za polisi? Nyumba ina vyumba viwili...mzee ana watoto wa kike na kiume..wanalalaje ati!???
Oh on a personal note, mimi mdogo wangu anakuja kunitembelea weekend ijayo from Moshi (yuko likizo..form six) na atalala kwangu..kwa kaka yake...na tena sitandiki godoro chini...na bado nina mwingine yuko Ardhi University naye kama mitihani itakuwa imepungua atakuja pia..we spend the night together...he!!!! wat the hell is hapenning to the world!????

Hahahaha Mentor ni kama ambavyo wengine watashangazwa na msimamo wako huu....malezi naona yanatofautiana hapa na yanatuongoza kutoa maoni
 
Last edited by a moderator:
kaka, watoto wa kiume wa ndungu zangu wa damu, nauchapa nao usingizi kwenye kitanda kimoja bila mawazo kabisaaaaaaaaaaaaaaaaa,
 
Mchumba wa rafiki yangu ana nyumba amejenga dar ambapo ameweka wapangaji lakini chumba kimoja Amempa dadake akae bure.Cha Ajabu ni kwamba Huyu kaka ambae Ni Mchumba wa rafiki yangu kila akija dar anashukia katika nyumba yake na kulala chumba kimoja na dada.Eti anatandika godoro chini na dada analalq kitandani.Swali langu kwa wanaume ni Je hivi unaweza kulala na dada wa tumbo Moja kwa baba na mama bila kupata hisia za ajabu?
Dada, huo ni utovu wa adabu na heshima. Kama hilo lipo ni la ovyo na la kukemewa. Hukulipenda ndio maana umelianika hapa. Nilikuwa na jirani yangu mwanaume, ana mabinti zake wakubwa tu wako sekondari. Mmoja kati ya mabinti hao alikuwa akiitwa na baba yake baa kupewa soda, akifika anampapasa baba yake kifuani mpaka tumboni, ndani ya shati, kuonyesha jinsi anavyompenda baba yake. Je, waweza kufanya hilo?
 
Dada, huo ni utovu wa adabu na heshima. Kama hilo lipo ni la ovyo na la kukemewa. Hukulipenda ndio maana umelianika hapa. Nilikuwa na jirani yangu mwanaume, ana mabinti zake wakubwa tu wako sekondari. Mmoja kati ya mabinti hao alikuwa akiitwa na baba yake baa kupewa soda, akifika anampapasa baba yake kifuani mpaka tumboni, ndani ya shati, kuonyesha jinsi anavyompenda baba yake. Je, waweza kufanya hilo?

Mh, hii sasa nayo kali..duh!
 
Back
Top Bottom