SweetyCandy
JF-Expert Member
- Sep 17, 2022
- 4,800
- 8,989
Huna hela yakusupport familia yako kama mwanaume anatokea mke watajiri anawapa offer ya mke wako kuwa hawara wamume wake nakumpa kila atakacho maana huyo mke watajiri yupo busy kwa kazi hana time yakufanya mapenzi na mumewe .
Na mkataba unasema ni ml 5 kwa kila mwezi mkeo ahamie kwa jamaa sasa utakubali au ukatae . Kama mwanaume utakubali maana faida ya huo mkataba ni kupewa kila mnachotaka ambacho wao wamepima nakuona watamudu .
KAma kodi, chakula , mavazi , vacation na allowance ambayo ni ml 5 kwa mwezi . Hata kujenga wanaweza wawajengee
Sasa utakubali au lah
Na mkataba unasema ni ml 5 kwa kila mwezi mkeo ahamie kwa jamaa sasa utakubali au ukatae . Kama mwanaume utakubali maana faida ya huo mkataba ni kupewa kila mnachotaka ambacho wao wamepima nakuona watamudu .
KAma kodi, chakula , mavazi , vacation na allowance ambayo ni ml 5 kwa mwezi . Hata kujenga wanaweza wawajengee
Sasa utakubali au lah