msemakweli2
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 1,627
- 1,886
kuwa wazi na kilichotokea maana naona kama unazunguka zunguka, mimi ndio maana huwa nikitaka penzi kwa mwandani huwaga sitaki kusikia oooh baby leo nimechoka let do it kesho,sijui oooooh blaaah blaaaaaah na hii ndio madhara yake unaambiwa l am tired baby na wewe unageuka upande wa pili unakoroma.'Scenario' namba moja:
Unarudi nyumbani toka mizunguko yako ya kila siku, unafika nyumbani hamadi unakutana na mke wako anakusaliti na mwanaume mwingine nyumbani kwako.
'Scenario' namba mbili:
Unapata taarifa kuwa mke wako wa ndoa anakusaliti, unafanya uchunguzi na kujiridhisha ni kweli anafanya hivyo. Na ushahidi unao.
Sasa naomba uniambie, wewe utafanya nini ukikutana na 'scenario' moja wapo hapo juu. Yani nataka uniambie ile 'immediate action' utakayoichukua ndani ya dakika moja unaposhuhudia suala hilo.
Sitaki uniambie utafanya nini baada ya siku au week au miezi kupita baada ya kitendo hiko.
Nadhani nimeeleweka.
'Scenario' namba moja:
Unarudi nyumbani toka mizunguko yako ya kila siku, unafika nyumbani hamadi unakutana na mke wako anakusaliti na mwanaume mwingine nyumbani kwako.
'Scenario' namba mbili:
Unapata taarifa kuwa mke wako wa ndoa anakusaliti, unafanya uchunguzi na kujiridhisha ni kweli anafanya hivyo. Na ushahidi unao.
Sasa naomba uniambie, wewe utafanya nini ukikutana na 'scenario' moja wapo hapo juu. Yani nataka uniambie ile 'immediate action' utakayoichukua ndani ya dakika moja unaposhuhudia suala hilo.
Sitaki uniambie utafanya nini baada ya siku au week au miezi kupita baada ya kitendo hiko.
Nadhani nimeeleweka.
umeelewa swali au akili yako ndio imegota hapoKwa haraka nitarudi nilikotoka kwanza halafu nikajifikirie nadhani nitachanganyikiwa.
shut up hujaoa wewe hujui uchungu wa kuchapiwaKwa scenarios zote mbili,
1. Nikimkuta jamaa anamwaga uno kwa mke wangu, kiuhalisia nitasononeka sana, nitanyongea ila sitafanya maamuzi ya pupa. Nitawaacha wamalize mambo yao, ila kwa upande wangu kuna vitu kadhaa vitabadilika, kama ratiba ya chakula na sitamfukuza.
2. Nitamuonesha ushahid nilionao ili ajue kwamba najua anachokifanya nyuma ya mgongo wangu.
kuwa wazi na kilichotokea maana naona kama unazunguka zunguka, mimi ndio maana huwa nikitaka penzi kwa mwandani huwaga sitaki kusikia oooh baby leo nimechoka let do it kesho,sijui oooooh blaaah blaaaaaah na hii ndio madhara yake unaambiwa l am tired baby na wewe unageuka upande wa pili unakoroma.
rudisha kwao kijijini unasuburi nini tena hapo!'Scenario' namba moja:
Unarudi nyumbani toka mizunguko yako ya kila siku, unafika nyumbani hamadi unakutana na mke wako anakusaliti na mwanaume mwingine nyumbani kwako.
'Scenario' namba mbili:
Unapata taarifa kuwa mke wako wa ndoa anakusaliti, unafanya uchunguzi na kujiridhisha ni kweli anafanya hivyo. Na ushahidi unao.
Sasa naomba uniambie, wewe utafanya nini ukikutana na 'scenario' moja wapo hapo juu. Yani nataka uniambie ile 'immediate action' utakayoichukua ndani ya dakika moja unaposhuhudia suala hilo.
Sitaki uniambie utafanya nini baada ya siku au week au miezi kupita baada ya kitendo hiko.
Nadhani nimeeleweka.
Scanerio zote 2 ni usaliti ndani ya ndoa na jambo hilo kila mtu ana maamuzi yake na kutegemea na amerukwa akili kiasi gani, kwa hiyo ukitegemea majibu ya wadau hutopata aina moja ya maamuzi. Hivi hujawahi kusikia mtu ameuwa kwa jambo hilo? Hujawahi kusikia mtu amemwacha mke wake kwa hali hiyo? Hujawahi kusikia mwingine akimsamehe mke wake na kuacha maisha yaendelee, mwingine anaweza kuacha leo na akamrudia mke wake kesho nk nk kama yamekukuta chukua maamuzi unayoona yanastahili
aaaaaaah nimekuelewa mkuu nilijua ni real story,sasa kama bado hujaoa ukianza na fikra hizo utaahirisha kuoa mkuu,ungeingia kwanza uonje uhondo wa ngoma kwanzaSijaoa na sina mpenzi.
Imetokea nimewaza hivyo.
We mpumbavu kweli kweli, kwa hiyo unataka maamuzi yako yawe ya wote? Grow n think broader, *** upshut up hujaoa wewe hujui uchungu wa kuchapiwa
Kule USA, wanaiita. " Worst case scenario"'Scenario' namba moja:
Unarudi nyumbani toka mizunguko yako ya kila siku, unafika nyumbani hamadi unakutana na mke wako anakusaliti na mwanaume mwingine nyumbani kwako.
'Scenario' namba mbili:
Unapata taarifa kuwa mke wako wa ndoa anakusaliti, unafanya uchunguzi na kujiridhisha ni kweli anafanya hivyo. Na ushahidi unao.
Sasa naomba uniambie, wewe utafanya nini ukikutana na 'scenario' moja wapo hapo juu. Yani nataka uniambie ile 'immediate action' utakayoichukua ndani ya dakika moja unaposhuhudia suala hilo.
Sitaki uniambie utafanya nini baada ya siku au week au miezi kupita baada ya kitendo hiko.
Nadhani nimeeleweka.
Ni kweli kabisa mzee wa BlackberryMwanamke mzinzi ni kumuacha tu
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
Mkuu hata mie sikumuelewa hapo.'Scenario' namba mbili:
Unapata taarifa kuwa mke wako wa ndoa anakusaliti, unafanya uchunguzi na kujiridhisha ni kweli anafanya hivyo. Na ushahidi unao.
hii ya pili ndio imenifanya nisikuelewe, hasa katika swali lako la ndani ya dakika moja nitafanya nini?
Ok,kwa upande wangu nitaita waandishi wa khabari na polisi na mashahidi.Nimeuliza swali, usiniulize swali hilo hilo.
Sina jibu ndio maana nimeuliza humu. Na sijawahi kukutana na 'scenario' hata moja wapo.
Itategemea nimeshika nini mkononi au mfukoni vyote vinaweza kuwa halali yaoooh mie nasoma tu hapa sicomment