Kumbe yupo vizuri?The only thing ambacho ni cha kisasa alichonacho Msukuma ni hiki, "Gari lake Landcruiser VX lina namba private, yaani plate number yake imeandikwa KING M" the rest of the modern things kwa Msukuma, hakuna. Simu yake tu imefungwa na rubber band, nokia Fulani hivi za kizamani nyingi nazionaga kwa watu wa M-pesa!
Mzee wa KAKUMBA,vipi mauaji ya AlbinoThe only thing ambacho ni cha kisasa alichonacho Msukuma ni hiki, "Gari lake Landcruiser VX lina namba private, yaani plate number yake imeandikwa KING M" the rest of the modern things kwa Msukuma, hakuna. Simu yake tu imefungwa na rubber band, nokia Fulani hivi za kizamani nyingi nazionaga kwa watu wa M-pesa!
Alishasemaga hana mitandao ya kijamii wala smatfone hajui kuitumiaMbunge wa Geita vijijini hutumia mitandao ipi ya kijamii? maana nimefanya utafiti sijamuona twiter,Instagram,wala facebook
Jidanganye! Jamaa ana bonge la iPhoneThe only thing ambacho ni cha kisasa alichonacho Msukuma ni hiki, "Gari lake Landcruiser VX lina namba private, yaani plate number yake imeandikwa KING M" the rest of the modern things kwa Msukuma, hakuna. Simu yake tu imefungwa na rubber band, nokia Fulani hivi za kizamani nyingi nazionaga kwa watu wa M-pesa!
Sasa kama hana account tweeter, FB, whatsapp na hata internet tu haiingi, hiyo iphone ya kazi gani!?Jidanganye! Jamaa ana bonge la iPhone