Swali kwa wanaoihusudu CCM?

Swali kwa wanaoihusudu CCM?

ni mkristo safi sio mtu safi......tukimpa urais dunia nzima itatushangaa....kwa nnchi hii imeishiwa na wsomi.......ikulu hakika itakuwa PAROKIA.....

unataka kusema kikwete au lowasa ni wasomi zaidi ya dr slaa?????
naona mahaba yamekupofusha!
 
Leo naona umeamua kuja kivingine wewe MDUBAI? ehe tuambie unaona chama kipi kinafaa kuwa mbadala wa CCM?
yaani mi natamani hata waeke jiwe kuliko hili lichama lenye majitu yasioshiba masura na matumbo makubwa ka kiboko!
 
Kwanini usiturudishie??? Kila kukicha watu wanarudisha na kupewa kadi. Yaani we mzee ni mtu mzima na kichwani
hapako vizuri??? Umeshastaafu?

Akikurudishia utaifanyia nini? Mimi nina kadi ya UVCCM na ya CCM toka mwaka 1984. Nikuletee?
 
CCM ni chama sikivu chenye kutekeleza sera zake kwa weledi wa hali juu; tukuulize wewe zaidi ya ukabila na ukanda unaichukia CCM kwa sababu zipi?????
 
Naona TataMadiba amemaliza shift yake sasa umempokea

Unaona eeh? Flow ya mazungumzo ni ile ile. Mimi nilikuwa siamini kama kijana mwenye akili timamu na pengine msomi anaweza kuuza utu wake akashinda kwenye keyboard kutetea maangamizi ya taifa letu. Kumbe ni kweli kuna watu kama hao. Fahamu zitakapowarudia watajisikia vibaya maisha yao yote yaliyo salia.
 
dr.slaa alivyokuwa ccm, alipendeza na kunawiri sana. lakini toka aanze kuvaa magwanda ya chadema kapaukaaaaaaa.....kakondaaaaaa.......kazeeekaaaaaa.......utafikiri ana kwashiokor

Too personal. It can originate only from a person with a very low thinking and reasoning capacity if not a sadist.
 
Sasa wewe ndugu unatoa matatizo yako na kueleza njia za kuyatatua au unatoa skendo tu. Sikuelewi
 
Nendeni mkawaruhusu kwanza ZITTO na KITILA MKMBO watoe mawazo yao ndipo mrudi kuwarubni wananchi. Viongozi wenu waache biashara ya SODOMA na GOMORA kule DUBAI na kwingineko ndipo mje kwa wanachi, bila hivyo imekula kwenu. Mkubali ufisadi wa Kukataa kukaguliwa mahesabu ukaguliwe na CAG ndipo mrudi kwa wananchi, Muondoe mshahara wa mil 12 kwa SLAA bila kazi. Uzeni jumba la kifahari la SLAA kule mbezi beach kwa vile ni kodi za wananchi zile haipendezi hivyo hasa ukizingatia kuwa chama bado ni kichanga , hakina miradi kamailivyo CCM.

miradi ya kuzurumu kama mnavyo wazurumu wafanyakazi kimshahara kidogo,afya hakuna huduma zaidi ya kuwalipisha wagonjwa kwa huduma feki,shule zote walimu na wanafunzi wamekata tamaa,maji ya vidumu na visima,mikoni na wilaya hakuna barabara za lami kama uganda,wanyapori na madini yanaibwa hakuna anaejali,ssrikali badala ya kwenda mtaa hadi kijiji,mbuga hadi mbuga,hospitali hadi hospitali,shimo la madini hadi shimo wenyewe wamebaki kila kitu Dodoma si kweli kuweza ikoa nchi kukjtegemea maamuzi ya dodoma tu.kwanini tuache CCM itupe tena umasikini kwa miaka mingine 50 itakuwa wa tz ni wendawazimu
 
mjomba , ccm inaungwa mkono na viongozi wake wa juu , wake zao( ikiwemo pia MICHEPUKO yao ) na watoto wao tu ! Sababu zake zinafahamika ! Katika kundi hilo hakuna mlalahoi yeyote wala mjumbe wa nyumba 10 !
 
CCM ni chama sikivu chenye kutekeleza sera zake kwa weledi wa hali juu; tukuulize wewe zaidi ya ukabila na ukanda unaichukia CCM kwa sababu zipi?????

samahani naomba kuuliza , WEWE NI MTOTO AU NI MKE WA KIONGOZI WA CCM ?
 
Hakuna Chama kibovu kama Chadema,ni afazari tukabaki na hao hao CCM,Chama kimewashimda wataweza nchi.....?? Toka wameanza kutaka madaraka hakuna hata siku moja wamesisimama na kusema watatufanyia nini nchi hii....!! Wao ni kugombania kung'ang'ania madaraka wataweza nchi....?? Wajipange sana kupata nchi na si sasa,yapo mengi mabovu ndan ya chama wanapaswa kulekebisha kwanza ndio waombe nchi,hawana sela ya kutufanya tuwakabizi nchi.....!!
 
8: تكلمني متى م فضيت ؟ ارد عليك متى م بغيت..

Tafsiri yakr please.
 
Sema mtakachoifanyia hii nchi siyo kuuliza maswali yakichochezi hapa.
 
Back
Top Bottom