Swali kwa wanaoihusudu CCM?

Swali kwa wanaoihusudu CCM?

Hata Mataifa yaliyoendelea tumesikia mara kadhaa viongozi wakitumiwa kwa rushwa, matumizi mabaya ya ofisi, kudorora kwa uchumi. n.k. Kwa hiyo mkuu serikali yoyoye inayoongozwa na Binadamu ina mapungufu yake. Hauwezi kuwahukumu wanaoipenda CCM kwa kuangalia matatizo ambayo ni ya kawaida kwa binadamu. Hii ni hoja mfu kuliko zote nilizowahi kuona humu Jf. Eti unauliza swali wanaoihusudu CCM wakati wewe ukiulizwa unakihusudu chama kipi na kwa nini , sidhani kama una jibu kwa vile hakuna hata kimoja zaidi ya CCM kilichothubutu kuongoza serikali hata kwa sekunde tukaona kama viongozi wake wakuwa kama IDD AMIN aliyekuwa akimpenda mke wa mtu anachukua bila hata uoga, kama viongozi wake hawataishia kusaliti ndoa zao na kwenda DUBAI sasa tena mchana kweupe na kusahau kuwa wako kwa ajili ya kuwatumikia watanzania, kama viongozi wake hawatakuwa wa vurugu na kero kibao kwa watanzania.

Mkuu waache watanzania wajivunie chama chao, chama chenye kuwaleta pamoja badala ya kuwagawa kwa mtindo wa umajimbo, ukabila na udini.

Unaweza kuona hayo ni matatizo yaliyosababishwa na CCM kama ambavyo walibya walivyolewa amani, utajiri na kumuona Ghadaffi hafai tena kwa musukumo wa wabaya wa LIBYA, leo hii wanatamani bila mafanikio afufuke mzee wa watu angalau awaonjeshe analau ule utamu waliokuwa nao enzi za uhai wake.

Mi kweli watatizo yapo nchi nyingi je umesikia nchi hizo mafisadi na wabadhirifu wanaombwa waache wizi wa mali ya umma? Ambapo Rais anadai anayo orodha ya wezi wa mali ya umma huku hachukui hatua yoyote badala yake ni kupanga tu safari za nje ya nchi?
 
CCM ilikuwepo na itaendelea kuwepo daima.
"Kidumu chama cha Mapinduzi"
 
Hata Mataifa yaliyoendelea tumesikia mara kadhaa viongozi wakitumiwa kwa rushwa, matumizi mabaya ya ofisi, kudorora kwa uchumi. n.k. Kwa hiyo mkuu serikali yoyoye inayoongozwa na Binadamu ina mapungufu yake. Hauwezi kuwahukumu wanaoipenda CCM kwa kuangalia matatizo ambayo ni ya kawaida kwa binadamu. Hii ni hoja mfu kuliko zote nilizowahi kuona humu Jf. Eti unauliza swali wanaoihusudu CCM wakati wewe ukiulizwa unakihusudu chama kipi na kwa nini , sidhani kama una jibu kwa vile hakuna hata kimoja zaidi ya CCM kilichothubutu kuongoza serikali hata kwa sekunde tukaona kama viongozi wake wakuwa kama IDD AMIN aliyekuwa akimpenda mke wa mtu anachukua bila hata uoga, kama viongozi wake hawataishia kusaliti ndoa zao na kwenda DUBAI sasa tena mchana kweupe na kusahau kuwa wako kwa ajili ya kuwatumikia watanzania, kama viongozi wake hawatakuwa wa vurugu na kero kibao kwa watanzania.

Mkuu waache watanzania wajivunie chama chao, chama chenye kuwaleta pamoja badala ya kuwagawa kwa mtindo wa umajimbo, ukabila na udini.

Unaweza kuona hayo ni matatizo yaliyosababishwa na CCM kama ambavyo walibya walivyolewa amani, utajiri na kumuona Ghadaffi hafai tena kwa musukumo wa wabaya wa LIBYA, leo hii wanatamani bila mafanikio afufuke mzee wa watu angalau awaonjeshe analau ule utamu waliokuwa nao enzi za uhai wake.
Hauwezi kulinganisha utawala wa gaddaf na CCM hata siku moja, labda uangalie haya machache aliyokuwa akiyafanya Gaddaf je CCM wanayafanya?
1.Elimu ilikuwa inatolewa Bure
2. Huduma za afya Bure
3.Kila mama anaejifungua alikuwa anasaidiwa fedha.
4.Kila mwananchi alikuwa na akaunti bank na waliwekewa kiasi cha fedha kutoka katika mauzo ya Mafuta
5.Bei ya mafuta alikuwa anapanga yeye.
6.Kijana akitaka kuoa alijengewa nyumba baada ya kuoa.
7.Huduma ya umeme na maji ilikuwa Bure.
8.Kwa mwananchi aliyeamua kuwa mkulima alipewa ardhi bure pamoja na kuwezeshwa kila kitu kitakachomsaidia ikiwemo na matrekta Bure.

** Je kwa CCM ni kipi kati ya hivyo hapo juu wamewafanyia Watanzania? **
 
Na mpaka kesho huyu Babu ana kadi ya ccm...
CCM ni kama maji, usipo yanywa utaogea, au utanawia tu...

Unaposhabikia kuwa Dr.Slaa ana kadi ya CCM umesoma katiba ya CCM inazungumziaje juu ya hilo? Je Dr. Ni mwanachama wa CCM kikatiba? au ni kuwa ameihifadhi hiyo kadi kama kumbukumbu tu. Pia kumbuka vijana wote wa sekondari miaka ya 90 kurudi nyuma tulikuwa tunalazimishwa kununua kadi za umoja wa vijana wa CCM kwa hiyo kwa akili zako wote tulionazo hizi kadi ni wanachama wa UVCCM
 
Unaposhabikia kuwa Dr.Slaa ana kadi ya CCM umesoma katiba ya CCM inazungumziaje juu ya hilo? Je Dr. Ni mwanachama wa CCM kikatiba? au ni kuwa ameihifadhi hiyo kadi kama kumbukumbu tu. Pia kumbuka vijana wote wa sekondari miaka ya 90 kurudi nyuma tulikuwa tunalazimishwa kununua kadi za umoja wa vijana wa CCM kwa hiyo kwa akili zako wote tulionazo hizi kadi ni wanachama wa UVCCM

Kwanini usiturudishie??? Kila kukicha watu wanarudisha na kupewa kadi. Yaani we mzee ni mtu mzima na kichwani
hapako vizuri??? Umeshastaafu?
 
Kwanini usiturudishie??? Kila kukicha watu wanarudisha na kupewa kadi. Yaani we mzee ni mtu mzima na kichwani
hapako vizuri??? Umeshastaafu?

quote_icon.png
By kibogo

Unaposhabikia kuwa Dr.Slaa ana kadi ya CCM umesoma katiba ya CCM inazungumziaje juu ya hilo? Je Dr. Ni mwanachama wa CCM kikatiba? au ni kuwa ameihifadhi hiyo kadi kama kumbukumbu tu. Pia kumbuka vijana wote wa sekondari miaka ya 90 kurudi nyuma tulikuwa tunalazimishwa kununua kadi za umoja wa vijana wa CCM kwa hiyo kwa akili zako wote tulionazo hizi kadi ni wanachama wa UVCCM

Acha kuleta POROJO naomba unipe majibu kutoka katika maswali yangu hapo kwenye RED na BLUE
 
wengi wametoka CCM...baada ya kuona kuna ubabaishaji, upendeleo(kama sio mtoto wa kiongozi ni vigumu kupanda juu)....slaa katoka ccm baada ya kuona udhalimu na unafki mkubwa ccm

slaa katoka ccm baada ya kushindwa kura za maoni za kugombea ubunge jimbo la karatu, slaa ni mroho sana wa madaraka, chadema wakimtoa kwenye ukatibu mkuu atahamia hata cuf
 
nawauliza ninyi mnaosimama na kuipenda ccm maswali yafuatayo. Hv ni kweli mpo kwa maslahi ya kitaifa au mnachumia matumbo? Hv mnaridhia wizi wa pembe za ndovu unaofanywa na viongozi wenu?

Je mnapenda uchumi unavyoporomoka? Je mnahuruma na vizazi vya sasa na baadae? Je mnaridhika jinsi ccm wanavyotumia pesa nyingi kuua upinzani?

Je mnapenda kuona watoto wenu wanasoma shule bora huku watoto wengi wa kimaskini wakisoma shule za kata zisizo na walimu wa kutosha no madawati no maabara?

Je mliridhika kuona wazee wa east africa wakipigwa mabomu wakidai haki zao? Je mnasikia raha mkichakachua katiba huku imetumia pesa nyingi za nchi? Je kama nyerere angefufuka leo mngamueleza haya aliwachia muyaenzi?

Je mnapenda utajiri mkubwa wa kutisha huku watanzania hawana maji safi umeme juu? Mnafurahia watoto wenu pekee kufanya kazi benki kuu na wizara nyeti huku watoto wa maskini wanaishia ualimu?

Je mnafurahi kuona ombaomba wanaongezeka wakiwa na watoto wanaomba huku mkimuohonga zitto kodi za watanzania? Fisi na utumbo wake.

tueleze cdm wamefanya kipi tangu miaka 20 ama watafanya kipi? Hayo maswali ya kipuuzi waulize kina lema na sugu!
 
Nyinyi Ccm Mbona Mimi Sikuzungumzia CHADEMA ALAFU MNATOKWA MAPOVU. TURUDI NJIA KUU ACHENI KUJIDHALILISHA. KAMA MADA NI WOKOVU BASI TUJADILI WOKOVU NA SI MARA UANZE KUWAZA KUIBA MARA KUBAKA MARA KUIBA PEMBE ZA NDOVU MARA MADAWA YA KULEVYA. CCM ENDELEENI KUWADANGANYA MNAOWABEBA KWA MALORI KUTOKA VIJIJI HUKU NINYI MNATEMBELEA MA NISSAN ILA NAAMINI SIKU ZIMEBAKI CHACHE WATAELIMIKA.KISIDUMU CHAMA CHA MAFISADI
 
nadhani dr slaa humfahamu vizuri,,kiufupi ni miongoni mwa watu safi waliobaki kama hazina kwa taifa letu

ni mkristo safi sio mtu safi......tukimpa urais dunia nzima itatushangaa....kwa nnchi hii imeishiwa na wsomi.......ikulu hakika itakuwa PAROKIA.....
 
Back
Top Bottom