Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,498
- 113,604
Wanabodi,
Huu ndio mwaka wa uchaguzi, matumaini yote ya upinzani nchi Tanzania kuweza kushinda Uchaguzi Mkuu na kuingia Ikulu yetu ya Magogoni ni kupitia ushirikiano wa vyama kuunda umoja wenye nguvu kwa kusimamisha mgombea mmoja wa upinzani anayekubalika na kushindana mgombea wa CCM, kupitia huu ushirikiano wa vyama unaoitwa UKAWA, ulioasisiwa na Mchakato wa Katiba Mpya. Swali ni je UKAWA is it for real? au ulikuwa ni ushirikiano wa just a marriage of convenience za katiba tuu, katiba mpya ikiishapatikana, ile convenience itakuwa imekwisha hivyo sasa kila mtu, atashika lwake kwa kuianza safari ya Uchaguzi Mkuu wa 2015 huku kila mmoja kivyake vyake huku ameshika njia yake?!.
Kwa wajuvi wa mashirikiano yoyote, mashirikiano yoyote ili yalete manufaa ni lazima yajengwe kwenye misingi imara na sio kwa misingi ya conveniences ili hata hizo conveniences zikiisha, mashirikiano yaendelee.
Mfano mzuri ni Muungano wa Tanganyika na Zanzibar kuunda Tanzania, uliingiwa kwa security conveniences za kuyalinda Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, lakini sasa muungano wetu unaendelea bila uwepo wa any security threats kwa Zanzibar.
Sasa kwa wanaojua misingi ya mashirikiano kisiasa, jee mashirikiano haya ya UKAWA yamefuata misingi hiyo?!.
Kajiswali haka ni kufuatia mmoja wa washirika wa UKAWA, chama cha CUF, tayari ni mke wa mtu huko upande wa pili wa Zanzibar, ambapo CUF imefunga ndoa na CCM iitwayo SUK, (Serikali ya Umoja wa Kitaifa), ndani ya mfumo huo wa SUK, mwenye kura nyingi ndie mume, na anayefuatia ndiye mke, hivyo kwa serikali ya SUK ya Zanzibar , CCM ndiye mume na CUF ni kama mke imeolewa na CCM!. Mawaziri wa CUF waliondani ya serikali ya SUK, wanatekeleza ilani ya uchaguzi ya CCM!, hivyo kwa muktadha wa bandiko hili, CUF ni kama mke wa mtu kule Zanzibar!.
The real life scenario iko hivi:
Ndani ya mashirikiano haya mapya ya UKAWA, mmoja wa washirika wake CUF tayari ni mke wa mtu kwenye ndoa nyingine na CCM Zanzibar ambayo mumewe, CCM ndiye mpangaji rasmi wa ile ile nyumba yao ya ndoa, Ikulu ya Zanzibar.
CUF kuingia kwenye mashirikiano ya UKAWA huku bara ni kama mwanamke kuingia kwenye mahusiano nje ya ndoa kila anaposafiri nje ya Zanzibar, huku tayari ni mke wa mtu!.
Ndoa ya namna hiyo inaweza tuu kudumu iwapo mwanamke huyo na mahusiano hayo mapya, ataendelea kuishi huko huko alikotorokea, nikimaanisha, huu ushirikiano wa CUF ndani ya UKAWA utawezekana tuu kwa CUF kwenye uchaguzi wa JMT kwa huku bara tuu, lakini kwa Zanzibar CUF ni mwanandoa halali ndani ya SUK na uchaguzi wa 2015 CUF ana fursa ya kugeuka mume na CCM kugeuka mke.
Nguvu ya CUF ni Zanzibar, hivyo kama CUF ambaye ni mke wa CCM Zanzibar ndani ya ndoa ya SUK, lakini akivuka kuja Bara na anaingia kwenye mahusiano nje ya ndoa ya UKAWA ambayo CUF na mshirika wake huyu mpya wa UKAWA anatagemea akishinda Zanzibar ni lazima aendelee kuishi na CCM kule Zanzibar, na CUF huyu huyu kuja kuishi mume mpya, huku Bara, holi litawezekana vipi kwa kule Zanzibar iwapo CUF itashinda uchaguzi wa Zanzibar na kuishi kwenye ile ile nyumba yake ya ndoa ya mke mmoja mume mmoja wa CUF na CCM ndani ya Ikulu ya Zanzibar halafu huku bara iwe ni CUF na Ukawa?.
Mke huyu CUF akiwa upande mmoja kule Zanzibar ni mke mwaminifu kwenye ndoa yake ya SUK lakini akivuka upande wa pili, huku Bara, yuko kwenye ndoa nyingine ya UKAWA, huku sio kuchepuka?.
Tabia za wanandoa kuchepuka kidogo nje ya ndoa kwa lengo la kubadili mboga ni jambo la kawaida, lakini kitendo cha mke wa mtu mwenye ndoa yake kujulikana wazi kuwa anachepuka kwa kwenda nje ya ndoa wazi wazi kila awapo safarini bara, huku kutahesabika ni kumuhujumu mumewe halisi CCM na kuisaliti ndoa!. Kitendo cha mke wa mtu kutoka na mwanaume mwingine waziwazi huku tayari ni mke wa mtu, sio jamba la kawaida linanoweza kuvumilika hivyo huyu mke wa mtu CUF ndani ya UKAWA, is CUF there for real ndani ya UKAWA huku ni mke wa mtu ndani ya SUK?.
Nikiifuatilia kwa karibu hii ndoa ya CCM na CUF kule Zanzibar, najiuliza, jee ndoa hiyo inaweza kuendelea kudumu hata baada ya mumewe CCM kugundua mkewe CUF, ni mke mwaminifu Zanzibar tuu ndani ya SUK, lakini akivuka tuu bahari, akiwa kule upande wa pili wa Bara, huchepuka nje ya ndoa na mwanaume mwingine UKAWA ambaye sasa ndiye anayepanga nae kuja kumpindua yeye CCM na kuishi na UKAWA ndani ya nyumba ile ile yao ya ndoa ya Ikulu ya Zanzibar?!. CCM itakubali?. Hii maana yake matokeo ya uchaguzi Zanzibar, kuna kila dalili za CUF kushinda lakini... ( hili naomba nisilimalizie maana mimi ndie yule mtangazaji aliyetangaza matokeo ya uchaguzi mkuu wa Zanzibar ile 1995, hivyo nisije kutangaza kitakachotokea kwenye matokeo ya uchaguzi Mkuu wa Zanzibar wa 2015 nikaja kunyooshewa kidole tena kama ile ya 1995).
Kwa vile anayechagua mke ni mwanaume, anayeandika barua ya posa ni mwanaume, anayelipa mahari ni mwanamume, na anayeoa ni mwanaume, kikawaida mke akileta shida ndani ya ndoa, mke huachika na na hata kama aliyeleta shida ndani ya ndoa ni mwanaume, mke huomba talaka, na akipewa talaka yake, bado jamii itamuhesabu huyo mke kuwa ameachika!, hata kama kiukweli ni mke ndie amemuacha mume!. Kupitia huu ushirikiano mpya wa UKAWA, Luna mke wa mtu anakwenda kuachika 2015!.
Baada ya mke kuachika, mke ndie hutoka ndani ya nyumba ya ndoa na kurejea kwao, hivyo kumpa fursa mume au kumrejelea mkewe, au kuoa mwanamke mwingine na ndoa kuendelea, lakini kwa mwana ndoa huyu CUF msharika wa UKAWA, yaani mke huyu, hana mpango wa kutoka ndani ya nyumba yao ya ndoa, Ikulu ya Zanzibar bali CUF ndio imepanga kumfurusha mumewe wa ndoa CCM ndani ya ndoa yao ya SUK kwa CUF ndie ageuke mume na CCM ageuke mke na kuendelea kuishi ndani ya nyumba yao ya ndoa, Ikulu ya Zanzibar kwa hoja kuwa hata huyo mumewe wa sasa CCM, sio mmiliki wa hiyo nyumba yao ya ndoa ya Ikulu ya Zanzibar bali ni mpangaji tuu!, aliyepangishwa na umma wa Wazanzibari ambao ndio wenye nyumba!. Kwa mtazamo wako, jee mumewe huyu CCM atakubali kugeuzwa mke baada ya uchaguzi wa 2015?. Jee atajikalia tuu kimya kutazama na kushuhudia haya yamfike?!.
Jee mumewe CCM aendelee tuu na ndoa ya CUF ndani ya SUK kwa kujikalia kimya as if nothing has happened kwa vile tuu anampenda sana mkewe?, lakini huku akiumia moyoni?!.
Swali la msingi la kujiuliza pale unapobaini mkeo anachepuka nje ni jee huyo mke wako anayechepuka huko nje, ni anachepuka kubadili tuu mboga , ama ana nia ya dhati ya kulitunza penzi la jipya la mchepuko wake mpya wa UKAWA, hivyo wewe mume kuamua kumpa option ya kuchagua moja tuu, ama kuachana na ndoa yake ya kwanza na kufunga ndoa ya pili na huo mchepuko wake wa upande wa pili, au aamue kuachana na huo mchepuko na kutulia ndani ya yake?.
Au kwa sababu mumewe CCM anampenda sana mkewe CUF ndani ya ndoa yao ya SUK kwa mustakabali wa amani na utulivu wa visiwa vya Zanzibar, na anamtegemea sana mkewe huyo kwa amani na utulivu wa nyumba yao, hivyo kuna uwezekano mkubwa wa mume CCM amejinyamazia tuu licha ya kuyabaini mahusiano ya nje ya mkewe CUF, kwasababu sio mahusiano ya siri, ni mahusiano ya wazi na yanajulikana bayana, hivyo kwa mume CCM kuhofia kutupwa nje, mtaani, akawa hana pa kuushi, hivyo anaamua bora kujinyamazia tuu kimya, ndani ya ndoa ya SUK huku akimlaumu huyu mke wa mtu kuziendeleza zile za "huku wataka na kule wataka!", lakini mume CCM anakijua atakachomfanya huyu mke mchepukaji come October 2015, ndio maana nawauliza waungwana humu, is this for real? hii ni kweli, na itadumu kwa muda gani?, nauliza tuu?.
Swali hili linafuatia washirika wawili wakuu wa UKAWA, CHADEMA na CUF, kila mmoja kukumbwa na tatizo la "superiority complex" kwa kujiona yeye ni bora zaidi, hivyo kutaka kujimegea pande kubwa!. Conveniences hizi zitafikia peak wakati wa uteuzi wa mgombea urais JMT. Kwa Zanzibar, CUF tayari wakiwa na wagombea wao wa kudumu anayekubalika kwa upande wa Zanzibar, hakuna ubishi kuhusu kukubalika kwa Maalim Seif, jee kwa upande wa bara, mgombea wa kudumu wa CUF Prof Lipumba ambaye hakujawahi kukubalika, atakubali kujishusha na kuruhusu mgombea wa ushindi anayekubalika ndie aibebe UKAWA?. Chadema nao wanaye mgombea wao ambao wanaamini alishinda ila akapokwa ushindi, kwao huu ni muda wa kumalizia alipo ishia!, jee mafahali hawa wawili wanaweza kuishi zizi moja la UKAWA?.
UKAWA wakiweza kulimaliza hili la uteuzi wa mgombea urais 'wa JMT salama, then angalau kutakuwa na matumaini ya mabadiliko!, lakini kwa ubinafsi wa viongozi wa upinzani, nina mashaka kama hili litapita salama, hivyo wale wote wenye matumaini na upinzani kuingia ikulu October, keep high hopes for best, but get prepared for the worst, iwapo watashindwa kumpata mgombea muafaka wa kuwaletea ushindi, 2015 ni CCM tena!.
Pasco.
Huu ndio mwaka wa uchaguzi, matumaini yote ya upinzani nchi Tanzania kuweza kushinda Uchaguzi Mkuu na kuingia Ikulu yetu ya Magogoni ni kupitia ushirikiano wa vyama kuunda umoja wenye nguvu kwa kusimamisha mgombea mmoja wa upinzani anayekubalika na kushindana mgombea wa CCM, kupitia huu ushirikiano wa vyama unaoitwa UKAWA, ulioasisiwa na Mchakato wa Katiba Mpya. Swali ni je UKAWA is it for real? au ulikuwa ni ushirikiano wa just a marriage of convenience za katiba tuu, katiba mpya ikiishapatikana, ile convenience itakuwa imekwisha hivyo sasa kila mtu, atashika lwake kwa kuianza safari ya Uchaguzi Mkuu wa 2015 huku kila mmoja kivyake vyake huku ameshika njia yake?!.
Kwa wajuvi wa mashirikiano yoyote, mashirikiano yoyote ili yalete manufaa ni lazima yajengwe kwenye misingi imara na sio kwa misingi ya conveniences ili hata hizo conveniences zikiisha, mashirikiano yaendelee.
Mfano mzuri ni Muungano wa Tanganyika na Zanzibar kuunda Tanzania, uliingiwa kwa security conveniences za kuyalinda Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, lakini sasa muungano wetu unaendelea bila uwepo wa any security threats kwa Zanzibar.
Sasa kwa wanaojua misingi ya mashirikiano kisiasa, jee mashirikiano haya ya UKAWA yamefuata misingi hiyo?!.
Kajiswali haka ni kufuatia mmoja wa washirika wa UKAWA, chama cha CUF, tayari ni mke wa mtu huko upande wa pili wa Zanzibar, ambapo CUF imefunga ndoa na CCM iitwayo SUK, (Serikali ya Umoja wa Kitaifa), ndani ya mfumo huo wa SUK, mwenye kura nyingi ndie mume, na anayefuatia ndiye mke, hivyo kwa serikali ya SUK ya Zanzibar , CCM ndiye mume na CUF ni kama mke imeolewa na CCM!. Mawaziri wa CUF waliondani ya serikali ya SUK, wanatekeleza ilani ya uchaguzi ya CCM!, hivyo kwa muktadha wa bandiko hili, CUF ni kama mke wa mtu kule Zanzibar!.
The real life scenario iko hivi:
Ndani ya mashirikiano haya mapya ya UKAWA, mmoja wa washirika wake CUF tayari ni mke wa mtu kwenye ndoa nyingine na CCM Zanzibar ambayo mumewe, CCM ndiye mpangaji rasmi wa ile ile nyumba yao ya ndoa, Ikulu ya Zanzibar.
CUF kuingia kwenye mashirikiano ya UKAWA huku bara ni kama mwanamke kuingia kwenye mahusiano nje ya ndoa kila anaposafiri nje ya Zanzibar, huku tayari ni mke wa mtu!.
Ndoa ya namna hiyo inaweza tuu kudumu iwapo mwanamke huyo na mahusiano hayo mapya, ataendelea kuishi huko huko alikotorokea, nikimaanisha, huu ushirikiano wa CUF ndani ya UKAWA utawezekana tuu kwa CUF kwenye uchaguzi wa JMT kwa huku bara tuu, lakini kwa Zanzibar CUF ni mwanandoa halali ndani ya SUK na uchaguzi wa 2015 CUF ana fursa ya kugeuka mume na CCM kugeuka mke.
Nguvu ya CUF ni Zanzibar, hivyo kama CUF ambaye ni mke wa CCM Zanzibar ndani ya ndoa ya SUK, lakini akivuka kuja Bara na anaingia kwenye mahusiano nje ya ndoa ya UKAWA ambayo CUF na mshirika wake huyu mpya wa UKAWA anatagemea akishinda Zanzibar ni lazima aendelee kuishi na CCM kule Zanzibar, na CUF huyu huyu kuja kuishi mume mpya, huku Bara, holi litawezekana vipi kwa kule Zanzibar iwapo CUF itashinda uchaguzi wa Zanzibar na kuishi kwenye ile ile nyumba yake ya ndoa ya mke mmoja mume mmoja wa CUF na CCM ndani ya Ikulu ya Zanzibar halafu huku bara iwe ni CUF na Ukawa?.
Mke huyu CUF akiwa upande mmoja kule Zanzibar ni mke mwaminifu kwenye ndoa yake ya SUK lakini akivuka upande wa pili, huku Bara, yuko kwenye ndoa nyingine ya UKAWA, huku sio kuchepuka?.
Tabia za wanandoa kuchepuka kidogo nje ya ndoa kwa lengo la kubadili mboga ni jambo la kawaida, lakini kitendo cha mke wa mtu mwenye ndoa yake kujulikana wazi kuwa anachepuka kwa kwenda nje ya ndoa wazi wazi kila awapo safarini bara, huku kutahesabika ni kumuhujumu mumewe halisi CCM na kuisaliti ndoa!. Kitendo cha mke wa mtu kutoka na mwanaume mwingine waziwazi huku tayari ni mke wa mtu, sio jamba la kawaida linanoweza kuvumilika hivyo huyu mke wa mtu CUF ndani ya UKAWA, is CUF there for real ndani ya UKAWA huku ni mke wa mtu ndani ya SUK?.
Nikiifuatilia kwa karibu hii ndoa ya CCM na CUF kule Zanzibar, najiuliza, jee ndoa hiyo inaweza kuendelea kudumu hata baada ya mumewe CCM kugundua mkewe CUF, ni mke mwaminifu Zanzibar tuu ndani ya SUK, lakini akivuka tuu bahari, akiwa kule upande wa pili wa Bara, huchepuka nje ya ndoa na mwanaume mwingine UKAWA ambaye sasa ndiye anayepanga nae kuja kumpindua yeye CCM na kuishi na UKAWA ndani ya nyumba ile ile yao ya ndoa ya Ikulu ya Zanzibar?!. CCM itakubali?. Hii maana yake matokeo ya uchaguzi Zanzibar, kuna kila dalili za CUF kushinda lakini... ( hili naomba nisilimalizie maana mimi ndie yule mtangazaji aliyetangaza matokeo ya uchaguzi mkuu wa Zanzibar ile 1995, hivyo nisije kutangaza kitakachotokea kwenye matokeo ya uchaguzi Mkuu wa Zanzibar wa 2015 nikaja kunyooshewa kidole tena kama ile ya 1995).
Kwa vile anayechagua mke ni mwanaume, anayeandika barua ya posa ni mwanaume, anayelipa mahari ni mwanamume, na anayeoa ni mwanaume, kikawaida mke akileta shida ndani ya ndoa, mke huachika na na hata kama aliyeleta shida ndani ya ndoa ni mwanaume, mke huomba talaka, na akipewa talaka yake, bado jamii itamuhesabu huyo mke kuwa ameachika!, hata kama kiukweli ni mke ndie amemuacha mume!. Kupitia huu ushirikiano mpya wa UKAWA, Luna mke wa mtu anakwenda kuachika 2015!.
Baada ya mke kuachika, mke ndie hutoka ndani ya nyumba ya ndoa na kurejea kwao, hivyo kumpa fursa mume au kumrejelea mkewe, au kuoa mwanamke mwingine na ndoa kuendelea, lakini kwa mwana ndoa huyu CUF msharika wa UKAWA, yaani mke huyu, hana mpango wa kutoka ndani ya nyumba yao ya ndoa, Ikulu ya Zanzibar bali CUF ndio imepanga kumfurusha mumewe wa ndoa CCM ndani ya ndoa yao ya SUK kwa CUF ndie ageuke mume na CCM ageuke mke na kuendelea kuishi ndani ya nyumba yao ya ndoa, Ikulu ya Zanzibar kwa hoja kuwa hata huyo mumewe wa sasa CCM, sio mmiliki wa hiyo nyumba yao ya ndoa ya Ikulu ya Zanzibar bali ni mpangaji tuu!, aliyepangishwa na umma wa Wazanzibari ambao ndio wenye nyumba!. Kwa mtazamo wako, jee mumewe huyu CCM atakubali kugeuzwa mke baada ya uchaguzi wa 2015?. Jee atajikalia tuu kimya kutazama na kushuhudia haya yamfike?!.
Jee mumewe CCM aendelee tuu na ndoa ya CUF ndani ya SUK kwa kujikalia kimya as if nothing has happened kwa vile tuu anampenda sana mkewe?, lakini huku akiumia moyoni?!.
Swali la msingi la kujiuliza pale unapobaini mkeo anachepuka nje ni jee huyo mke wako anayechepuka huko nje, ni anachepuka kubadili tuu mboga , ama ana nia ya dhati ya kulitunza penzi la jipya la mchepuko wake mpya wa UKAWA, hivyo wewe mume kuamua kumpa option ya kuchagua moja tuu, ama kuachana na ndoa yake ya kwanza na kufunga ndoa ya pili na huo mchepuko wake wa upande wa pili, au aamue kuachana na huo mchepuko na kutulia ndani ya yake?.
Au kwa sababu mumewe CCM anampenda sana mkewe CUF ndani ya ndoa yao ya SUK kwa mustakabali wa amani na utulivu wa visiwa vya Zanzibar, na anamtegemea sana mkewe huyo kwa amani na utulivu wa nyumba yao, hivyo kuna uwezekano mkubwa wa mume CCM amejinyamazia tuu licha ya kuyabaini mahusiano ya nje ya mkewe CUF, kwasababu sio mahusiano ya siri, ni mahusiano ya wazi na yanajulikana bayana, hivyo kwa mume CCM kuhofia kutupwa nje, mtaani, akawa hana pa kuushi, hivyo anaamua bora kujinyamazia tuu kimya, ndani ya ndoa ya SUK huku akimlaumu huyu mke wa mtu kuziendeleza zile za "huku wataka na kule wataka!", lakini mume CCM anakijua atakachomfanya huyu mke mchepukaji come October 2015, ndio maana nawauliza waungwana humu, is this for real? hii ni kweli, na itadumu kwa muda gani?, nauliza tuu?.
Swali hili linafuatia washirika wawili wakuu wa UKAWA, CHADEMA na CUF, kila mmoja kukumbwa na tatizo la "superiority complex" kwa kujiona yeye ni bora zaidi, hivyo kutaka kujimegea pande kubwa!. Conveniences hizi zitafikia peak wakati wa uteuzi wa mgombea urais JMT. Kwa Zanzibar, CUF tayari wakiwa na wagombea wao wa kudumu anayekubalika kwa upande wa Zanzibar, hakuna ubishi kuhusu kukubalika kwa Maalim Seif, jee kwa upande wa bara, mgombea wa kudumu wa CUF Prof Lipumba ambaye hakujawahi kukubalika, atakubali kujishusha na kuruhusu mgombea wa ushindi anayekubalika ndie aibebe UKAWA?. Chadema nao wanaye mgombea wao ambao wanaamini alishinda ila akapokwa ushindi, kwao huu ni muda wa kumalizia alipo ishia!, jee mafahali hawa wawili wanaweza kuishi zizi moja la UKAWA?.
UKAWA wakiweza kulimaliza hili la uteuzi wa mgombea urais 'wa JMT salama, then angalau kutakuwa na matumaini ya mabadiliko!, lakini kwa ubinafsi wa viongozi wa upinzani, nina mashaka kama hili litapita salama, hivyo wale wote wenye matumaini na upinzani kuingia ikulu October, keep high hopes for best, but get prepared for the worst, iwapo watashindwa kumpata mgombea muafaka wa kuwaletea ushindi, 2015 ni CCM tena!.
Pasco.