Swali kwa Wana CHADEMA: Msando bado msaliti?

Swali kwa Wana CHADEMA: Msando bado msaliti?

jMali

JF-Expert Member
Joined
Nov 9, 2010
Posts
8,412
Reaction score
5,013
Albert msando alitukanwa sana hapa jukwaani kuwa ni msaliti kwa kumtetea zitto kabwe, je na sasa anapomtetea Mbowe je bado ni msalit?

Hai. Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe ameingia matatani baada ya Mahakama ya Wilaya ya Hai kuona ana kesi ya kujibu katika mashtaka ya kumshambulia mwangalizi wa ndani katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2010.


Uamuzi huo ulitolewa jana na hakimu mfawidhi wa wilaya hiyo, Denis Mpelembwa mbele ya Mbowe, wakili wake, Issa Rajabu na mwendesha mashtaka, Inspekta Marwa Mwita.

Mpelembwa alisema mashahidi saba wa upande wa mashtaka wameishawishi mahakama kuwa siku hiyo kuna tafrani ambayo ilitokea na ambayo Mbowe

atatakiwa kutoa ufafanuzi wa kuhusika kwake.


Alisema ingawa upande wa utetezi ukiongozwa na wakili Albert Msando na baadaye Rajabu, ulitoa hoja kuwa ushahidi wa Jamhuri uliacha mashimo mengi, yeye anaona Mbowe ana kesi ya kujibu.


“Katika hoja zao (utetezi) wanaona ukiacha ushahidi wa Nassir Yamin, hakuna shahidi mwingine aliyethibitisha kushuhudia Nassir akipigwa,” alisema akinukuu hoja za mawakili wa utetezi.

source: Mbowe matatani wilayani Hai
 
ukosefu wa professional education and qualifications ndio unaokusumbua wewe.
 
Patamu hapa. Mbowe na Tundu, mwanasheria mkuu wa magwanda picha haziendi?

Au "alipomtukania" "baba'ke" picha imeunguwa?
 
unajua taaluma ya uwakili hairuhurusu discrimination kwa namna yoyote hile haijalishi tofauti yoyote..........
 
jMali,

..hebu isome vizuri tena hii habari.

..nilivyoelewa mimi ni kwamba Msando alikuwa wakili wa Mbowe, lakini sasa hivi nafasi hiyo imechukuliwa na Issa Rajabu.

cc Sangarara, faiza Foxy
 
Last edited by a moderator:
Huu ni upuuzi!!umeweka hapa
Thread closed!
 
Albert msando alitukanwa sana hapa jukwaani kuwa ni msaliti kwa kumtetea zitto kabwe, je na sasa anapomtetea Mbowe je bado ni msalit?




Hai. Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe ameingia matatani baada ya Mahakama ya Wilaya ya Hai kuona ana kesi ya kujibu katika mashtaka ya kumshambulia mwangalizi wa ndani katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2010.


Uamuzi huo ulitolewa jana na hakimu mfawidhi wa wilaya hiyo, Denis Mpelembwa mbele ya Mbowe, wakili wake, Issa Rajabu na mwendesha mashtaka, Inspekta Marwa Mwita.

Mpelembwa alisema mashahidi saba wa upande wa mashtaka wameishawishi mahakama kuwa siku hiyo kuna tafrani ambayo ilitokea na ambayo Mbowe

atatakiwa kutoa ufafanuzi wa kuhusika kwake.


Alisema ingawa upande wa utetezi ukiongozwa na wakili Albert Msando na baadaye Rajabu, ulitoa hoja kuwa ushahidi wa Jamhuri uliacha mashimo mengi, yeye anaona Mbowe ana kesi ya kujibu.


“Katika hoja zao (utetezi) wanaona ukiacha ushahidi wa Nassir Yamin, hakuna shahidi mwingine aliyethibitisha kushuhudia Nassir akipigwa,” alisema akinukuu hoja za mawakili wa utetezi.

source: Mbowe matatani wilayani Hai



Duh mkuu umekurupuka......soma habari nzima then uielewe....alikuwa akitetewa na Albert msando na baadae Wakili Issa...maana yake kesi ilikuwa inaskizwa na msando lakini wakili wa sasa ni Issa. acha uvivu wa kufikiri
 
Duh mkuu umekurupuka......soma habari nzima then uielewe....alikuwa akitetewa na Albert msando na baadae Wakili Issa...maana yake kesi ilikuwa inaskizwa na msando lakini wakili wa sasa ni Issa. acha uvivu wa kufikiri

Hilo libaba la mazombi wa Lumumba limewatije wenzie

BACK TANGANYIKA
 
upande wa utetezi ukiongozwa na wakili Albert Msando[/COLOR] na baadaye Rajabu, ulitoa hoja kuwa ushahidi wa Jamhuri uliacha mashimo mengi, yeye anaona Mbowe ana kesi ya kujibu.

source: Mbowe matatani wilayani Hai

Acha kupotosha wewe! Hilo neno na baadaye linamaanisha nini? Msando alianza hii kesi baadaye akaondolewa baada ya kutokuaminika. Bado ni msaliti!
 
mkuu hiyo misukule haijui maana ya professionals. wakiona uko against na mabwana zao tu unapewa cheo kikuu cha usaliti. mimi siku hizi huwa sishangazwi hata kidogo na hao mazombie.

Albert msando alitukanwa sana hapa jukwaani kuwa ni msaliti kwa kumtetea zitto kabwe, je na sasa anapomtetea Mbowe je bado ni msalit?



Hai. Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe ameingia matatani baada ya Mahakama ya Wilaya ya Hai kuona ana kesi ya kujibu katika mashtaka ya kumshambulia mwangalizi wa ndani katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2010.


Uamuzi huo ulitolewa jana na hakimu mfawidhi wa wilaya hiyo, Denis Mpelembwa mbele ya Mbowe, wakili wake, Issa Rajabu na mwendesha mashtaka, Inspekta Marwa Mwita.

Mpelembwa alisema mashahidi saba wa upande wa mashtaka wameishawishi mahakama kuwa siku hiyo kuna tafrani ambayo ilitokea na ambayo Mbowe

atatakiwa kutoa ufafanuzi wa kuhusika kwake.


Alisema ingawa upande wa utetezi ukiongozwa na wakili Albert Msando na baadaye Rajabu, ulitoa hoja kuwa ushahidi wa Jamhuri uliacha mashimo mengi, yeye anaona Mbowe ana kesi ya kujibu.


"Katika hoja zao (utetezi) wanaona ukiacha ushahidi wa Nassir Yamin, hakuna shahidi mwingine aliyethibitisha kushuhudia Nassir akipigwa," alisema akinukuu hoja za mawakili wa utetezi.

source: Mbowe matatani wilayani Hai
 
kwa maelezo yako inaonekana huyo Msando alikuwa wakili kipindi kesi inafunguliwa na sasa sio wakili tena wa Mbowe.Huyo mamluki kwa sasa hawezi kuaminika tena ndani ya cdm.Hata kama ni mimi siwezi kumuamini awe wakili wangu.Mleta mada unaweweseka tu!
 
Albert msando alitukanwa sana hapa jukwaani kuwa ni msaliti kwa kumtetea zitto kabwe, je na sasa anapomtetea Mbowe je bado ni msalit?

Hai. Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe ameingia matatani baada ya Mahakama ya Wilaya ya Hai kuona ana kesi ya kujibu katika mashtaka ya kumshambulia mwangalizi wa ndani katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2010.


Uamuzi huo ulitolewa jana na hakimu mfawidhi wa wilaya hiyo, Denis Mpelembwa mbele ya Mbowe, wakili wake, Issa Rajabu na mwendesha mashtaka, Inspekta Marwa Mwita.

Mpelembwa alisema mashahidi saba wa upande wa mashtaka wameishawishi mahakama kuwa siku hiyo kuna tafrani ambayo ilitokea na ambayo Mbowe

atatakiwa kutoa ufafanuzi wa kuhusika kwake.


Alisema ingawa upande wa utetezi ukiongozwa na wakili Albert Msando na baadaye Rajabu, ulitoa hoja kuwa ushahidi wa Jamhuri uliacha mashimo mengi, yeye anaona Mbowe ana kesi ya kujibu.


"Katika hoja zao (utetezi) wanaona ukiacha ushahidi wa Nassir Yamin, hakuna shahidi mwingine aliyethibitisha kushuhudia Nassir akipigwa," alisema akinukuu hoja za mawakili wa utetezi.

source: Mbowe matatani wilayani Hai

Kesi hii imeanza mwaka 2010 na 2011, Msando amekuwa kati ya Mawakili wa Chadema na viongozi kwa muda mrefu. Amesimamia kesi na alikuwa ni wakili hii kesi ya Freema Mbowe Hai.

Msando alipoonyesha viashiria vya usaliti ndani ya chama, aliwekwa pembeni kwenye kesi ya Hai ndio Rajabu akaendelea.
Usaliti wa three angels ulianza kitambo kidogo, ila Msando alikuwa na mgongano wa kimasilahi kwenda kuishitaki CDM mahakani huku akiwa kiongpozi wa CDM, chama kikapoteza imani naye na akatakiwa kujiondoa kwenye maswala yote yanayohusu chama na viongozi wake, hatimaye atamaliza muda wake wa Diwani wa Mabogini na kumtakia kila la heri.

Nafikiri Magamba mnaelewa sasa. Najua inakuwa vigumu sana buku saba kuelewa ndio maana hamuelewi kwanini Lowassa fisadi papa by Nape leo ni ndio kete yenu ya Uraisi.
 
Chadema inawatumia wafuasi wake kimaslahi,wanakukamua wakiona umewafanikishia mambo yao wanakutelekeza tena kwa majina mabaya mabaya
 
Wakili Msando kwa sasa SIO WAkili wa MB Mbowe ktk kesi hii!
 
Back
Top Bottom